franckkimm
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 440
- 852
Msemaji wa jeshi la Uganda, UPDF, Felix Kulayigye, amesema watu watatu wameuwawa katika shambulizi linalodaiwa kufanywa na wanamgambo wa kundi la Allied Democratic Forces ADF Magharibi mwa taifa hilo.
Wanamgambo hao wanasemekana kuushambulia mji wa kamwenga jumatatu jioni na kumuua Bibi wa miaka 75 na wajukuu wake wawili kabla ya kuchoma miili hiyo.
Source//DW.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanamgambo hao wanasemekana kuushambulia mji wa kamwenga jumatatu jioni na kumuua Bibi wa miaka 75 na wajukuu wake wawili kabla ya kuchoma miili hiyo.
Source//DW.com
Sent using Jamii Forums mobile app