Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,242
- 44,327
nafikiri wengi munaijua hii application ya watsap, ok ni hivi hii aplication ina sifa moja hua haidisconect network yaani muda wote internet connection yako inakua active so ina maana ukiiconect sa 5 usiku na net ya bure ya airtel mpaka kesho mchana utaendelea kutumia bure hadi mb 200 ziishe
Ila usizime simu wala usiende eneo lisilo na network ili isiji disconect, kama unaswali hujaelewa unaweza kuuliza hapo chini
Ila usizime simu wala usiende eneo lisilo na network ili isiji disconect, kama unaswali hujaelewa unaweza kuuliza hapo chini