watsap na internet ya bure ya airtel

watsap na internet ya bure ya airtel

Chief-Mkwawa

Platinum Member
Joined
May 25, 2011
Posts
32,242
Reaction score
44,327
nafikiri wengi munaijua hii application ya watsap, ok ni hivi hii aplication ina sifa moja hua haidisconect network yaani muda wote internet connection yako inakua active so ina maana ukiiconect sa 5 usiku na net ya bure ya airtel mpaka kesho mchana utaendelea kutumia bure hadi mb 200 ziishe

Ila usizime simu wala usiende eneo lisilo na network ili isiji disconect, kama unaswali hujaelewa unaweza kuuliza hapo chini
 
aaaaaahhhhh.......
inaanza saa ngap, leo nahamia na kitanda nalala humo humo!!""
 
Sio wote tunaoijua hiyo sw, ungetuwekea tu link ili tuweze kudownload, plz!
 
... net ya bure ya airtel mpaka kesho mchana utaendelea kutumia bure hadi mb 200 ziishe
Najua Whatsup inakufanya utume text messages bure kama una internet wakati wowote, ziwe MB 200 za bure au za kununua. Sasa hapo cha zaidi inachofanya whatsup sijui ni nini ulichokieleza.
 
Najua Whatsup inakufanya utume text messages bure kama una internet wakati wowote, ziwe MB 200 za bure au za kununua. Sasa hapo cha zaidi inachofanya whatsup sijui ni nini ulichokieleza.

Yani ni hivi watsap inafanya net iwe active. Simu ispokua active kunakua na kialama G au E au 3G kikiwa plane then ikiwa active hivo vialama vinazungushiwa.
airtel bure internet inaisha asubuh sina uhakika but sa 11 au 12 lakini kama una watsap airtel watashindwa kuku disconect so utaendelea tumia bure sjui kama umenipata
 
Sio wote tunaoijua hiyo sw, ungetuwekea tu link ili tuweze kudownload, plz!

http://www.whatsapp.com/nokia/WhatsApp.sis kaka click hapo juu latest version kwa nokia,
 
http://www.whatsapp.com/nokia/WhatsApp.sis kaka click hapo juu latest version kwa nokia said:
Hii aplication kwenye Nokia 2730 itaingia
 
nokia, blackberry, iphone na android. Haingii kwenye 2700 only nokia smartphone
 
... lakini kama una watsap airtel watashindwa kuku disconect so utaendelea tumia bure sjui kama umenipata
anhaaa... nimekupata sasa, ila kitu kimoja tu, unamaanisha utaendelea kutumia mpaka 200MB zako ziishe, sio utaendelea kutumia bure. Kama unapimiwa megabytes basi tusiseme "bure," tunayapa makampuni ya simu free advertisement wakati wao wanatu screw kwa kwenda mbele.

Sante mkubwa.
 
jaman mbona kwenye nokia c1-o1 inaandika not found
 
Ni bure kwa mwaka wa kwanza tu, $2/year after that.
c1-01 haiko supported, kwa Nokia unatakiwa uwe na s60 hizi
[h=2]Supported device list:[/h]
  • Symbian: X7 · E6 · N8 · C6 · C7 · E7 · 500 · 600 · 603 · 700 · 701
  • S60 5th edition: Nokia 5800 · Nokia 5530 · Nokia 5230 · Nokia 5233 · Nokia 5235 · Nokia N97 · Nokia N97 mini · Nokia X6 · Nokia X5-01 · Nokia C6 · Nokia C5-03 · Samsung i8910 Omnia HD · Sony Ericsson Satio · Sony Ericsson Vivaz · Sony Ericsson Vivaz Pro
  • S60 3rd edition: Nokia 5700 · Nokia 6110 · Nokia 6120 · Nokia 6121 · Nokia 6124 · Nokia 6700 · Nokia 6290 · Nokia E51 · Nokia E63 · Nokia E66 · Nokia E71 · Nokia E90 Communicator · Nokia N76 · Nokia N81 · Nokia N81 8GB · Nokia N82 · Nokia N95 · Nokia N95 8GB · Nokia 5320 · Nokia 5630 · Nokia 5730 · Nokia 6210 · Nokia 6220 · Nokia 6650 fold · Nokia 6710 Navigator · Nokia 6720 · Nokia 6730 · Nokia 6760 Slide · Nokia 6790 Surge · Nokia C5 · Nokia E52 · Nokia E55 · Nokia E72 · Nokia E73 · Nokia E75 · Nokia E5 · Nokia N78 · Nokia N79 · Nokia N85 · Nokia N86 8MP · Nokia N96 · Samsung GT-i8510 · Samsung GT-I7110 · Samsung SGH-L870 · Samsung SGH-G810 · Samsung SGH-iNN

Au S40 hizi
Nokia C3-00 · Nokia C3-01 · Nokia X2-01 · Nokia X3-02 · Nokia X2-00
Nokia Asha: 201 · 300 · 303

Simu zote za iPhone

Simu karibia zote za Android 2.1 and above

Simu za BB OS 4.6 and above.
 
naona mada imehamia kwenye watsap, download hata nimbuzz au application yoyote ile inayo operate background cha muhimu ikifika asubuh internet isijidisconect iwe active ili ukiamka asubuh na mchana uendelee kutumia net yako ya bureeee hadi mb 200 ziishe,
 
hakikisha huna hela,wala bundle yeyote ndo utaendelea kutumia hzo mb200. I've been usng ths nifty trick for a while,ila kama huna bahat huwa inajidisconect yenyewe kwnye mida ya saa 4 asbh,bt siku nyngne huwa haikati.
 
Back
Top Bottom