kigogo mbona jazba kama Nape alivyosikia anaitwa mahakamani Arusha kufundishwa maana ya uhuru wa mahakama,nilikuwa nauliza au unahamu ya BAN
Haahaaa! Why voice with such a harsh tone?Mshenzi mkubwa wewe..anafuga panya mama yako...usifharau shule tulizosoma mpumbavu wewe
Mshenzi mkubwa wewe..anafuga panya mama yako...usifharau shule tulizosoma mpumbavu wewe
Ukweli ni kwamba, hiyo ni labour retention strategy ya makampuni mengi na imekua ikitumiwa sana na micro finance institutions kama vile FINCA na PRIDE. wanaajili mtu kwenye field isiyoendana na vyeti vyake ili baadae asiweze kuondoka kirahisi. kwenye hayo makampuni niliyotaja waliwaajili sana kama loan officers na wanawalipa kidogo kulinganisha na hali halisi. HUU ndio ukweli, hakuna chochote special zaidi ya kuandaliwa kunyonywa!
Kaka hata mie nimesoma SUA lakini matusi ya nini inabidi kumuelewesha jamaa ili aelewe kinachotolewa SUA inawezekana hajui na sio kusa lake kaka.
Mwanzoni tulikuwa tunalinganisha vyuo, sasa tumehamia kwenye graduates then what next!!.
Graduates wa sua wanafit everywhere na wanapiga kazi sana maana chuo chao kinamchakamchaka wa ajabu kwahiyo hutoka wakiwa hardworker na masomo yao mengi ni yale ya faida kwa jamii za watanzania ambao wengi ni wakulima. Ukiangalia hicho ndicho huenda kilichompa upendeleo