Watoto wengi au wachache??

Boss its good for you if you dont want too many children infact I am with you.. I love kids but mmmhhh big responsibilities....
 
hivi mtu kama OPRAH WINFREY ALIEKATAA
KUWA NA WAOTO WALA KUOLEWA UTAM DEFINE VIPI?
KAKATAA BARAKA?????????
Hivi huyu Oprah mie simfahamu why would she choose to live in adultery :rolleyes::rolleyes::rolleyes: I think she can take good care of her dogs than a human being... and I dont buy that she has built a school instead of having her own kids.:confused:

hey Oprah is not my role model after all...
 
Kuna watu wengi nakutana nao na kitu kimoja nakigundua ni kuwa
watu wengi bado wanaamini kuwa na watoto wengi ni baraka au
utajiri wa aina fulani.....
matokeo yake watu wengi wanazaa watoto wengi na suala la matunzo
linakuwa ama ni mzigo mkubwa au wana sacrifice sehemu kubwa ya maisha yao
ili tu kuwapa watoto wao maisha ya kuaminika hasa elimu na gharama zingine.....

swali ambalo nikiwauliza watu na majibu wanayonipa ni ajabu sana ni hili....
je ni lazima kuwa na watoto?????
tunakuwa na watoto kwa malengo gani hasa?????
kwa nini watu wengi wana prefer kuwa na watoto wengi???(i mean kuanzia wawili)?????

je watu wakishauriwa wasizae au wazae mtoto mmoja wengi hawakubali.why???????

je unaamini watoto wengi ni mtaji utakaokuja kukusaidia hapo baade?why???
je ukiamua kutokuwa na watoto ni hasara?????hasara ipi???????

je watu wasiokuwa na watoto hupata tabu gani
hapo baade????

mimi binafsi naona watu wengi wenye watoto wanapata tabu na kuwapa tabu pia hao watoto..
pia muelekeo wa dunia na idadi ya watu inavyoongezeka..
its high time watu wakaamua kuwa na mtoto mmoja tu kila familia.
na wengine washauriwe kutozaaa kabisa......

binafsi naamini watu wengi wangeishi vizuri zaidi kama wasingekuwa na watoto
au wangekuwa na mtoto mmoja au wawili......

nyinyi mnaonaje???????????????

kwanza watu wa grammar tunakushitaki kwa kutumia kwesheni mark nyingi (overdose).
beki tu ze topik:kama sio uzazi:: wewe,mimi,kikwete,invizibo,jerry murro,mc lemma ,jf mpya ,tusingekuwepo. ULIZALIWA ILI UZAE BABA. tukigoma kuwazalisha wake zetu nani ataiondoa CCM madarakani miaka 20 ijayo heheehhe(hapa greti thinka nimeona mbali kweli)
 
Mkuu idadi ya watoto wa kuzaa inategemea na mambo mbalimbali katika maisha yetu ya kila siku kama

  • Uwezo wa kiuchumi
  • Elimu (DUnia, Afya)
  • Jamii tunayoishi nayo
  • Utamaduni
  • Mazingira uliyopo n.k
Me naamini kuwa na watoto wengi (Zaidi ya 1) ni msaada mkubwa sana hapo baadaye (Watoto kusaidia wazazi au kusaidiana wao kwa wao). Hata kama hutasaidiwa na wote (Awe tajiri au maskini, Msomi au Poyoyo kama babayao) msaada ni haijalishi mtu yupo kwenye hali gani. Unajua watu wengi wanaamini "fikra hasi" kwamba fedha na masurufu ndio msaada mkubwa mtu anaweza kusadia au kusaidiwa katika matatizo yanayo mpata mwanadamu, la hasha!
Naamini nimezaliwa na wazazi wangu, kisha wakanilea kwa UPENDO nami naamini ipo siku nitazaa (Zaidi ya mtoto mmoja) "Eee Mungu Nisaidie katika hili" na nitawalea kwa UPENDO na wao watazaa then life 'll go on!
 
........Wee Boss una watoto/mtoto?
Kuzaa muhimu sana hapa duniani, ila inategemea na kipato chako na majukumu uliyonayo. Ila kusema kwamba mtu uamue tu kutozaa hiyo ni kituko, labda kama una matatizo ya uzazi. Mimi binafsi bado sijazaa, ila natamani sana kuitwa mama, na Mungu akijalia nataka niwe na angalau watoto 2 ambao najua nitaweza kuwalea katika maisha mazuri.

Ukifa itakuaje?
 
ni kama kuolewa/kuoa...ukifikia umri fulani then jamii inayotuzunguka inaexpect uwe umefanya hivyo na watoto pia ni must...ni part ya culture yetu,otherwise kama huna mtoto then kubali kuishi pengine ama ukubali hii jamii ikuzonge!!!,ni sawa na kwenda China,ambao wameshajiwekea kama utaratibu kuwa na familia ndogo/watoto wachache afu uzae watoto sita ama nane...lazima watakuzonga na hutaishi kwa amani!...LOL

kuwa na watoto imekuwa kama general rule baada ya ndoa,infact nikijitokeza leo niseme sijaolewa nataka mchumba/mwanaume...ila sina uwezo wa kuzaa mtoto...sidhani kama NITAPATA...which is sad...lol

sijui naandika nini,am drunk...lol

ukisema unatafuta mchumba na unakunywa kiasi cha kushindwa kujua unaandika nn...ni afadhali yule asiyeweza kuzaa kabisa!!!
Si afadhali kutopata watoto kuliko kujua kabisa utazaa mtoto mwenye utindio wa ubongo!!!
Style up....
 
ukisema unatafuta mchumba na unakunywa kiasi cha kushindwa kujua unaandika nn...ni afadhali yule asiyeweza kuzaa kabisa!!!
Si afadhali kutopata watoto kuliko kujua kabisa utazaa mtoto mwenye utindio wa ubongo!!!
Style up....

  • Am sure wenye watoto wenye mtindio wa ubongo watakuwa offended na sentesi yako ya mwisho...,apologize...NOW!!!?!
  • IF you really want to know,sitafuti mchumba,sinywi kabisa pombe,nina uwezo wa kuzaa mtoto mwenye afya njema,,na mwisho sielewi utindio wa ubongo una-relate vipi na unywaji pombe??!!...lol
jeifuu ni zaidi ya uijuavyo...:(
 
  • Am sure wenye watoto wenye mtindio wa ubongo watakuwa offended na sentesi yako ya mwisho...,apologize...NOW!!!?!
  • IF you really want to know,sitafuti mchumba,sinywi kabisa pombe,nina uwezo wa kuzaa mtoto mwenye afya njema,,(


  • Hey

    Umedeclare kuwa hujazaa bado. Je, umejuaje na una uhakika gani kuwa una uwezo wa kuzaa mtoto mwenye afya njema?
 
kwanza watu wa grammar tunakushitaki kwa kutumia kwesheni mark nyingi (overdose).
beki tu ze topik:kama sio uzazi:: wewe,mimi,kikwete,invizibo,jerry murro,mc lemma ,jf mpya ,tusingekuwepo. ULIZALIWA ILI UZAE BABA. tukigoma kuwazalisha wake zetu nani ataiondoa CCM madarakani miaka 20 ijayo heheehhe(hapa greti thinka nimeona mbali kweli)

Hey mtu wa grammar,

maneno niliyowekea rangi ya blue hapo juu yana maanisha nini na ni lugha gani?
 
Hey

Umedeclare kuwa hujazaa bado. Je, umejuaje na una uhakika gani kuwa una uwezo wa kuzaa mtoto mwenye afya njema?

...hio ya kudeclare,umenizushia hapoo,,,lol
....kama wewe mzima,na katika familia yako hakuna mtu mwenye mtindio wa ubongo,you will always believe utazaa mtoto mwenye afya njema unless uende ukatafute partner mwenye mtindio wa ubongo!...
sijui haya matatizo kiundani,kama yako genetic related ama external factors zinasababisha huu mtindio wa ubongo...but as a healthy person...sidhani unajiwekea kny mind yako kuwa utazaa mtoto mwenye mtindio wa ubongo na si mwenye afya njema!
 
What matters is the financial abilities of the parents in question. Hakuna sababu ya kuzaa watoto wengi kama kipato hakiruhusu!.....ni msalaba kwa ndugu na jamaa zako!


Its true P.Jimmy
my opinion is that; for those having financial abilities-4 children,n for those having financial instabilities-1 child
 
Nadhani ni jambo la muhimu kufikria kuwa na idadi ya watoto ambayo mtu utaweza kulea,kuwapatia elimu bora,na huduma nyingine za muhimu

Pia lazima uzingatie afya ya mke na kushauriana vizuri kuhusu idadi ya watoto.Mimi binafsi ningependa sana if God wish basi niwe nao wawili
 
Watu humu wagumu kuelewa....

Tusingumze katika personal level tu...
Tuzungumze pia katika national level....
Kila mtu akisema awe na watoto wanne kwa mfano....
Tanzania itakuwa na watu wangapi aftre 20 years?
Na resources tulizonazo tutagawana vipi????????
 
mie nadhani kila mtu awe na watoto wawili tu...!
ukijiangalia una uwezo wa kuwa na watoto wanne na kuendelea..ila hali ya kipato inaweza badilika miaka ya baadae ,utahangaika sana ukiwa na familia kubwa...ni bora uwe na familia ndogo hata changes zikitokea haziaffect familia yako sana...

mungu akinijalia nikawa financially stable,,,nita adopt watoto wawili wazuuuuuuuri hapa..www.cradleoflove.com
 
Mimi bado naamini katika natural selection (survival for the fittest)! Suala la kuzaa au kutozaa au idadi ya watoto naamini halitakiwi kutungiwa sheria. Ni suala la mtu binafsi. Cha muhimu ni kwa serikali kuweka mazingira bora ya watu wake kupata elimu ya jinsi ya kupambana na mazingira yetu. Na automatically suala la idadi ya watoto kwa mfano linajisolve lenyewe tu. Kwa mfano, just by casual observation, unaweza kuona wengi wa watu walio na elimu ya chuo kikuu na kuendelea wana watoto wasiozidi wanne (almost all my contemporaries have less than three!).
 
Back
Top Bottom