The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Kuna watu wengi nakutana nao na kitu kimoja nakigundua ni kuwa
watu wengi bado wanaamini kuwa na watoto wengi ni baraka au
utajiri wa aina fulani.....
matokeo yake watu wengi wanazaa watoto wengi na suala la matunzo
linakuwa ama ni mzigo mkubwa au wana sacrifice sehemu kubwa ya maisha yao
ili tu kuwapa watoto wao maisha ya kuaminika hasa elimu na gharama zingine.....
swali ambalo nikiwauliza watu na majibu wanayonipa ni ajabu sana ni hili....
je ni lazima kuwa na watoto?????
tunakuwa na watoto kwa malengo gani hasa?????
kwa nini watu wengi wana prefer kuwa na watoto wengi???(i mean kuanzia wawili)?????
je watu wakishauriwa wasizae au wazae mtoto mmoja wengi hawakubali.why???????
je unaamini watoto wengi ni mtaji utakaokuja kukusaidia hapo baade?why???
je ukiamua kutokuwa na watoto ni hasara?????hasara ipi???????
je watu wasiokuwa na watoto hupata tabu gani
hapo baade????
mimi binafsi naona watu wengi wenye watoto wanapata tabu na kuwapa tabu pia hao watoto..
pia muelekeo wa dunia na idadi ya watu inavyoongezeka..
its high time watu wakaamua kuwa na mtoto mmoja tu kila familia.
na wengine washauriwe kutozaaa kabisa......
binafsi naamini watu wengi wangeishi vizuri zaidi kama wasingekuwa na watoto
au wangekuwa na mtoto mmoja au wawili......
nyinyi mnaonaje???????????????
watu wengi bado wanaamini kuwa na watoto wengi ni baraka au
utajiri wa aina fulani.....
matokeo yake watu wengi wanazaa watoto wengi na suala la matunzo
linakuwa ama ni mzigo mkubwa au wana sacrifice sehemu kubwa ya maisha yao
ili tu kuwapa watoto wao maisha ya kuaminika hasa elimu na gharama zingine.....
swali ambalo nikiwauliza watu na majibu wanayonipa ni ajabu sana ni hili....
je ni lazima kuwa na watoto?????
tunakuwa na watoto kwa malengo gani hasa?????
kwa nini watu wengi wana prefer kuwa na watoto wengi???(i mean kuanzia wawili)?????
je watu wakishauriwa wasizae au wazae mtoto mmoja wengi hawakubali.why???????
je unaamini watoto wengi ni mtaji utakaokuja kukusaidia hapo baade?why???
je ukiamua kutokuwa na watoto ni hasara?????hasara ipi???????
je watu wasiokuwa na watoto hupata tabu gani
hapo baade????
mimi binafsi naona watu wengi wenye watoto wanapata tabu na kuwapa tabu pia hao watoto..
pia muelekeo wa dunia na idadi ya watu inavyoongezeka..
its high time watu wakaamua kuwa na mtoto mmoja tu kila familia.
na wengine washauriwe kutozaaa kabisa......
binafsi naamini watu wengi wangeishi vizuri zaidi kama wasingekuwa na watoto
au wangekuwa na mtoto mmoja au wawili......
nyinyi mnaonaje???????????????