Watoto wawili hospitalini

charger

JF-Expert Member
Nov 21, 2010
2,320
1,370
Watoto wapo hospitali,mtoto wa kwanza kamwona mwenzie analia ikawa kama hivi:-

MTOTO WA KWANZA:Unalia nini?

MTOTO WAPILI:Nimekuja kupima damu

MTOTO WA KWANZA:Ndio sababu unalia?

MTOTO WA PILI:Wamenikata kidole changu

Mtoto wa kwanza nayeye Kaangua kilio balaa

MTOTO WA PILI:Unalia nini?

MTOTO WA KWANZA:Nimekuja kupima mkojo
 
Back
Top Bottom