Watoto wamelala

Na wewe usituchoshe na hizo dad zako! Hivi ndivyo huwa vinaliwa kimasikhara na akina mzee Mshana!
Mtu akila uzao wake kuna shida yoyote utapata ?
Tufanye basi nimeliwa kimasikhara
wewe uta athirika vp na uliwaji wangu?

Kwanini baadhi ya watu wa JF mna hasira kali?
Leave me alone ndugu Manjagata
Ukiona na kuchosha ignore me🀝
 
Mtu akila uzao wake kuna shida yoyote utapata ?
Tufanye basi nimeliwa kimasikhara
wewe uta athirika vp na uliwaji wangu?

Kwanini baadhi ya watu wa JF mna hasira kali?
Leave me alone ndugu Manjagata
Ukiona na kuchosha ignore me🀝
Mjukuu usikasirike, tunajaribu kukukuza taratibu ili ufikie panapotakiwa tuanze kula taratibu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Nimevopokea binti tayali
Asante kwa tarifa
So na wewe umefurahi mimi kuambiwa hivyo?
sijafurahi udugu ila nimeshangaa hilo povu limetoka wapi? unajua mimi napenda kucheka hata nikiwa na hasiraπŸ˜ͺπŸ˜†,, nikasema nikuite uje umjibu mwenyew

alf kwanini umenifanya nijieleze hivi? πŸ˜†πŸ˜†
 
sijafurahi udugu ila nimeshangaa hilo povu limetoka wapi? unajua mimi napenda kucheka hata nikiwa na hasiraπŸ˜ͺπŸ˜†,, nikasema nikuite uje umjibu mwenyew

alf kwanini umenifanya nijieleze hivi? πŸ˜†πŸ˜†
Hakunaaaaa unanisaliti
 
umeandika kwa uchungu sana,,, polee jamni uwe unanitania mimi pekeangu ndo sina mtu,, hao wengine ni watu wa watu, utapigwaaaaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Bhana mi staki nataka kuwatania hao hao wazeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wewe mdogo nakutaniaje sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…