Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 350
Nimetoka Masasi Mtwara jana, leo nipo Mkuranga mkoa wa pwani. Kisa cha kushangaza, familia ya wenyeji wangu watoto wao awafanani, wapo 5. Moja mrefu, wawili wafupi, wawili wa Wastani, rangi zao wengine azipo kwa baba wala mama. Katika kudadisi kwa utafiti, nikajulishwa kuwa watoto wa waazaramo awafanani. Chanzo cha matatizo hayo ni ngoma za mila na desturi. Leo Mr Msandawe nipo njiani naelekea arusha. Kama nitalala Tanga nitawajuza maajabu ya Tanga Kesho. Siku njema wana JF