Kumekuwa na utaratibu wa kuweka watoto wa viongizi kwenye nafasi mbambali za nyama. Ukweli ni kwa hawaonekani kama wanafurahia badi ni kama wamelazimishwa kwa kunufaisha na kufurahisha familia zao. Kuanzia Nape mpaka makamba na wengineo ni watu wakukosana kila siku kwasababu ukweli wa nafsi zao hauko CCM.