Watoto wa nje ya ndoa

Watoto wa nje ya ndoa

Hata kama tunatumia fake ID hizi thread nyingine zinawadharirisha sana. Hivi huwa mnafikiria kweli madhara ya haya maandishi kwenye umma kwamba yanaonesha wewe ni mtu wa namna gani? Ebu jaribuni kuficha uchi wa akili zenu. Mnajidharirisha.
Uko sahihi mkuu kuna muda uzi fulani nikikutana nao huwa najilaumu mwenyewe japo hatufahamiani
 
Back
Top Bottom