Wasalaam
Napenda kuwakilisha hili kwa serikali kwamba watoto wa kike wanaenda vyuo vikuu wawekewe mageti usiku wasitoke. Maana imekuwa kero kwa wapenda burudani. Hii imeonekana sehemu nyingi sana nchini. Ukiwa Dodoma kuna pub nyingi zinajaaa hawa hawa watoto. Ukiwa Mwanza, Mbeya na Arusha vile vile. Serikali liangalieni hili, watoto wengi wa kike wanaharibikiwa wakiwa vyuoni.
Napenda kuwakilisha hili kwa serikali kwamba watoto wa kike wanaenda vyuo vikuu wawekewe mageti usiku wasitoke. Maana imekuwa kero kwa wapenda burudani. Hii imeonekana sehemu nyingi sana nchini. Ukiwa Dodoma kuna pub nyingi zinajaaa hawa hawa watoto. Ukiwa Mwanza, Mbeya na Arusha vile vile. Serikali liangalieni hili, watoto wengi wa kike wanaharibikiwa wakiwa vyuoni.