Watoto wa kariakoo mpo jf?

DUUH!!!!!! umenikumbusha mtu kibao-huyu kennedy yuko wapi siku hizi
 
DUUH!!!!!! umenikumbusha mtu kibao-huyu kennedy yuko wapi siku hizi

Kennedy hayupo tena,
niliambiwa mdogo wake ila sikumbuki nini kilimuondoa.
Son of Alaska nawe upanga East?
West sikuwafahamu sana...
 
Dah! Wewe ni mkaree... unakumbukumbu Sana Wanajeshi sure Walikuwa Wapole kwa Watoto tu enzi zile fensi yao ilikuwa ni Senyenge tu sie tulikuwa Watundu acha hatuwaogopi hao wanajeshi tunawakera hadi basi wanatupatia au wanatuambia tuingie tuyaangue kabla mkuu wao hajafika tunachukua mabuyu na maembe pia Sielewi Upanga kwa nini ilikuwa na miti ta Miembe Mingi Sana hadi ndani mule Jeshini..

Magore kulikuwa na Duka la Kaya Pia na Mchine ya Kusaga Nafaka nyuma ya Duka la Kaya pia na Ndio Mtaa aliokuwa anakaa Bibi Titi.. Kipindi kile cha mGao wa kwanza wa Umeme Mtaa wa Magore ulikuwa haukatwi umeme lol
 
Kweli miembe ilikua mingi,
ile mashine tumeenda sana pale.
Bibi titi wajukuu zake walisoma UPS,nadhani na Duly Sykes pia alikaa kwa bibi Titi ila sina uhakika au kumbukumbu nzuri kwa hilo.
Jeshini pia kulikua na dispensary,nimechomwa sana sindano pale... Lol
then magore/maliki upande huu wa Diamond kulikua kiwanja kimezungushiwa fensi fupi tulikua tunaruka kwenda kuchuma mapera.
Aga khan wakati huo jengo moja tu tulikua tunaenda kuchuma maembe ng'ong'o hapo tulikua tunaenda na watoto wengine wanakaa mbali kama kinondoni,kariakoo ila wanasoma UPS.
 
Kennedy hayupo tena,
niliambiwa mdogo wake ila sikumbuki nini kilimuondoa.
Son of Alaska nawe upanga East?
West sikuwafahamu sana...
MIMI ni wa upanga west,primary nimepiga hapo UPS,mitaa ya upanga east nimeyumba sana.
 
mimi utoto nimekulia kariakoo..
Ujana nimekulia Upanga...
Ukubwa............Kijtonyama.......Kinondoni block41.......
 

....kulikuwa na mtemi mmoja anaitwa siga siga, nani anakumbuka jina hili?....halafu kuna mmoja (mlemavu) nishalisahau jina lake alikuwa anatabia ya kuandika graffiti ukutani ".....kapita hapa!" mitaa ya upanga hiyo...

...pale uwanja wa shule ya muhimbili, team ya Super Star ilikuwa inapiga zoezi kila jioni, kina Abdul na Ahmad Amasha hii ilikuwa team yao ya mtaani...

...huku karibu na klabu ya Yanga kulikuwa na mkaanga chipsi maarufu kwa jina MASALADI, ilikuwa kama transit point kwa wote wanaoelekea majumbani kuanzia saa nane usiku mpaka alfajr kwa waliotokea Gogo-Africana, Mbowe etc...enzi hizo Bagamoyo Rd vumbi tupu, ni road race na wale waarabu wenye coaster za Scaba Scuba na Sea Never Dry kuwahi chipsi moto!
 
Huyo kilema namkumbuka,jina nimemsahau
 
Reactions: Mbu
silver oak napajua,kijiwe cha castro ndio ilikuwa maskani kuu

....shwari, ...kwa mtaji huo shule ya muhimbili imekuhusu sana, mitaa ya duka shop kwa baba Tayyibali na potelo zake, chipsi za Arawa, four flats nk...mitaa ya home hiyo.
 
Ali gulu alikuwa mlemavu,inamaana ya kuwa akishakuiba badala ya kumkamata munamuangalia tu!dah!hii nomaa kabisa!!!
 

....shwari, ...kwa mtaji huo shule ya muhimbili imekuhusu sana, mitaa ya duka shop kwa baba Tayyibali na potelo zake, chipsi za Arawa, four flats nk...mitaa ya home hiyo.
Duka Shop,4 flats,unanikumbusha mbali sana-enzi za neema hizo-i would do anything to turn the hands of time backwards. Life imechange,whenever i am back washikaji hatuonani-kila mtu anaenda mbio
 
Duka Shop,4 flats,unanikumbusha mbali sana-enzi za neema hizo-i would do anything to turn the hands of time backwards. Life imechange,whenever i am back washikaji hatuonani-kila mtu anaenda mbio

dah.. Mimi nilisoma Muhimbili..
Ila makazi,Kariakoo.. Vijiwe vya Upanga navifahamu...
 

....shwari, ...kwa mtaji huo shule ya muhimbili imekuhusu sana, mitaa ya duka shop kwa baba Tayyibali na potelo zake, chipsi za Arawa, four flats nk...mitaa ya home hiyo.
Karega nasikia ana Ualaza wa Nguvu... lol
Mitaa hiyo alikuwepo Kichaa George na Rabiya yule Mama wa Kihindi Mento..!
Mitaa hiyo karibu na Home kwa Mw. Ndossi... Krokodire Ushuzi wa Mung....

Watoto si Manunda hawa Si hawana Akili Si Hawana Adabu.. Mw. N.



Duka Shop,4 flats,unanikumbusha mbali sana-enzi za neema hizo-i would do anything to turn the hands of time backwards. Life imechange,whenever i am back washikaji hatuonani-kila mtu anaenda mbio
Nangatai Ulishakula wewe? inaelekea na wewe ulikuwa unapenda sana Sun Vita...
 
Dudu utakuwa ulisoma Muhimbili kama mimi...
Tuna alumni yetu kule.......... Vp unaingiaga?
 
Ali gulu alikuwa mlemavu,inamaana ya kuwa akishakuiba badala ya kumkamata munamuangalia tu!dah!hii nomaa kabisa!!!
na kama Ali Guru mwenyewe wanayemzungumza ni yule wa mtaa wa Twiga....nimechoka kabisa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…