Hao watoto ni wa kupongezwa wamefanya hivyo ili kulinda usalama wa watumiaji,maana choo chenyewe si salama kwa matumizi ya binadamu,Kama hawa ndo watoto wa jirani yako wamefanya hivi choo chako cha nje utawafanyaje?
Lipia Tangazo arooWeka mlango wa grills, na pia jenga kwa tofali hicho choo! Kama uko mkoani jengea tofali za kuchoma kama uko dar jengea tofali zetu za mchanganyiko wa mchanga na cement(blocks) inch tano! Hiduma zote natoa kwa hapa dar nafanya kazi ya grills , aluminium na bidha zote za mbao na ujenzi wa kisasa kwa ujumla mahali popote tunakufikia kwa Tanzania hii