KATUMBACHAKO
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 399
- 108
Ninakaza macho kumtafuta Yericco hapo sijui yukwapi, naham nimjue ni yupi kati ya hao
Si huyo ambaye yuko peku!
- :smile:
Ninakaza macho kumtafuta Yericco hapo sijui yukwapi, naham nimjue ni yupi kati ya hao
Aisee inapendeza sana.
Namuona makongoro yule.
Sijui kile kidogo ndo kiyericko?
mbona watoto nyingi sana! Hivi clinton na bush wanawatoto ngapi?
Sio watoto wote wamwalimu, wengine walikuwa ndugu tu!
Inaonekana JK nyerere alikuwa na upendo na ndugu hadi kuingia ikulu na kupichika!! ila JK ------ anawatoto 9 tayari, akiongeza na ndugu ikulu ingekuwaje.duh
Heheee acha hizo mkuu, hebu nionyeshe hapo Makongoro yupo wapi na mimi nipo wapi hapo?
Hapo pekundu heh heh heeee umenivunja mbavu,tena kama popo wa misitu ya Amazon teh teh mbavu zangu mayu weeeeeeMaakongoro yule nyuma kidogo ya Nyrr mweny masikio km popo nadhan kushto kwa mkuu ni madaraka yule
Naona Mwal nyota ya kijani ilimpitia pembeni teh teh
Mtatuvunjia ndoa sasa. Tukimgundua yerrico hatukawii kuhamia pm bureee.