Watoto wa ikulu wanapokuwa peku.

Watoto wa ikulu wanapokuwa peku.

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,210
1961-Nyerere-and-Family-after-independency.jpg
 
Aisee inapendeza sana.
Namuona makongoro yule.
Sijui kile kidogo ndo kiyericko?
 
Tulikwenda shule na baadhi yao na walikuwa wenzetu. Nasikia siku hizi mtoto wa raisi anaitwa 'mwana mfalme'!!
 
Maisha ni tofauti sana! Watoto wa magogoni sasa hivi wamekuwa vibaka wa hekima wanatumia taaluma zao ku-hujumu washindani wa baba yao! Kila nikikumbuka zile sms za propaganda na matusi zilizokuwa zinaingia kweye simu zetu halafu eti TCRA walikuwa hawajui zinatokea wapi huwa naionea huruma magogoni yetu kuwa huenda labda imepigwa machata kwenye kuta za vyoo! Unaweza kuta labda kuna bonge la chata "Ritz moko" ambalo linamsubiri rais ajaye alifute!
 
Last edited by a moderator:
Ninakaza macho kumtafuta Yericco hapo sijui yukwapi, naham nimjue ni yupi kati ya hao
 
Maisha ni tofauti sana! Watoto wa magogoni sasa hivi wamekuwa vibaka wa hekima wanatumia taaluma zao ku-hujumu washindani wa baba yao! Kila nikikumbuka zile sms za propaganda na matusi zilizokuwa zinaingia kweye simu zetu halafu eti TCRA walikuwa hawajui zinatokea wapi huwa naionea huruma magogoni yetu kuwa huenda labda imepigwa machata kwenye kuta za vyoo! Unaweza kuta labda kuna bonge la chata "Ritz moko" ambalo linamsubiri rais ajaye alifute!

Naamini hii haiwezekani
 
Mtatuvunjia ndoa sasa. Tukimgundua yerrico hatukawii kuhamia pm bureee.
 
Hahahaaaa nyerere bana ananipa raha sana
 
Huyo ndo rais wa nchi, hakukuwa na tofauti ya watoto wake na watoto uliowakuta Ilala miaka ile
 
Hawa wa sasa hata kamchundo kale kadogo kabisa nako hakataki blackbery,kanataka galaxy.kazi ipo,na ndio kwaanza kako kindagaten
 
Shabash Toto 9 ? Duu mwalimu alikuwa hana Mchezo wa mbali na goli lilipo.
 
dada King'asti hebu boresha ndoa yako akijua ushaa anza kutamani uta achika!...

Mie hapo namtolea majicho babake yericko nyerere. Manake zile akili hajarithisha mwane yeyote, hata my hazbend anajua. Ila ndo staki kumjua hata huyo dogo. Asante kwa angalizo kaka.
 
Last edited by a moderator:
duh kweli aisee....tofauti na saa hizi wakubwa wala bata na watoto wao ikulu yaani dah.......
 
Back
Top Bottom