Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,126
Hili ni swali muhimu linalopaswa kujibiwa, Inafahamika kwamba miongoni mwa watoto hao wa Mahita yumo Mahita Omari ambaye sasa imefahamika kwamba amewekwa kwenye kundi la WATESAJI, au kwa jina la kisasa ni WATU WASIOJULIKANA, hatuna shida naye maana tayari ameanikwa hadharani na Mungu.
Swali ni hili , ni watoto wangapi wa Mahita mwenyewe ama viongozi wengine wa jeshi la polisi waliopewa ajira Polisi na yalivyo majukumu yao ? hatuna shida na njia walizotumia kupata ajira hiyo.
Natanguliza Shukrani .
Swali ni hili , ni watoto wangapi wa Mahita mwenyewe ama viongozi wengine wa jeshi la polisi waliopewa ajira Polisi na yalivyo majukumu yao ? hatuna shida na njia walizotumia kupata ajira hiyo.
Natanguliza Shukrani .