Bepari la Kinyambo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,223
- 1,520
Wakuu Je watoto wa nje ya ndoa wanahusika kwenye mirathi
WanapataWakuu Je watoto wa nje ya ndoa wanahusika kwenye mirathi
Inategemea na kama wewe ni mwajiriwa wa serikalini au la, na mazingira uliyoyaandaa. Kwenye malipo yanayotoka serikalini wanahusika nayo kama uliwaorodhesha kama wategemezi wako na ni watoto wako. Na kwenye mirathi zinazoamriwa na mahakama wanakuwepo. Ila ukiacha kienyeji enyeji tu, wanachinjiwa baharini. Niliuliza PSSSF wakaniambia watoto walioingizwa kwenye mfumo wao (PSSSF) wanagawiwa 50% ya kiinua mgongo chako kama haukuacha wosia na 50% anapewa mkeo wa ndoa. Ukiacha wosia basi huo ndio utakaofuatwa kugawa mali zako.Wakuu Je watoto wa nje ya ndoa wanahusika kwenye mirathi