Watoto baada ya kumaliza michezo yao, kila mtoto anachukua kilicho chake na kwenda kwao. Anabaki mtoto mmoja akilia kwa majonzi, ikabidi aulizwe na majibu yalikuwa hivi (nimeibiwa viatu vyangu), akaambiwa amuachie Mungu kwani yatakwisha. Akajibu(Siwezi kumuachia Mungu kwani zilikuwa ndogo hivyo yeye haviwezi kumtosha) nitafute kwenye faceboo