Wewe Babygal hivi bila kuenda mbali.... wewe ungelelewa kijijini completly ungekua na exposure ya kua na access ya JF hapa saizi??
Hizo circumstances za kijijini zilikuaje?? Majority inajulikana kabisa akisema kijiji... ni kijijini kweli... huyo mtoto alotolewa mfano hapo, huyo mamake unafikiri kweli anajali welfare ya mtoto kama inavo onesha dhahiri wewe ulikua unalelewa?? labda utuambie ni kitu gania kilifanya uamuzi wa kulelewa wewe huko ulikua ni upi/ au kwa nini??
I stand for our African traditions and customs........ I practice what our ancestors preached......
I like this post....... go and check for yourself......I Know... I know... and always Impressed...
Thats my papito..Of course! Why not? I gave my BabyGal everything. Just because I reared her in a rural small town, that doesn't mean she was deprived. I made sure she got everything that I felt she needed to have including exposure to a lot of things.Don't underestimate folks who live in rural areas and think that somehow they aren't as sophisticated as urbanites.
Did I say that?So you practice polygamy?
Closer........closer.........Darling what ever you say goes..... Ready"
Did I say that?
Our ancestors preached polygamy, huh?I didn't say you said it and that is why I asked if you do practice it because you were vague in your answer/ statement! Or did you miss the question mark at the end of the sentence?
I like this post....... go and check for yourself......
Closer........closer......... .
Mzazi mmoja au wote wawili depending on whos more interested on the well-being of the child.Nani mwenye mamlaka ya kuamua mtoto apate wapi mapenzi usemayo? Hapa ndo kunabeba masilahi ya mtoto....I second.... Dah....kuachana ni ngumu sana kumeza ADI.... Aseee....
I wil. And you......... be an angel on earth.Have done that... and your shem is proud....
Sorry have to go..... Your hommie is getting MAD out their... Be good ODM.
Now daddy..keep your cool.So you practice polygamy?But you still haven't answered my question. What does O-D-M stand for? Ol' Dirty Mbuzi?
Our ancestors preached polygamy, huh?
Unaposema kwamba hudhani vijijini kuna elimu nzuri na huduma ya afya kuridhisha unamaanisha kwamba wote waliopo mjini wanapata huduma nzuri ya afya na kusoma kwenye shule nzuri?!Kwasababu kama hicho ni kigezo cha kushusha maisha ya kijijini na kupandisha ya mjini basi naomba nikwambie kwamba umefeli.Popote pale ili upate vitu hivyo viwili wa kiwango cha juu na cha kuridhisha basi unahitaji pesa ili kuvilipia.Basi kama ilivyo mjini hata vijijini huduma nzuri zipo kinachohitajika ni pesa yako tu.Na ndio maana bado naamini kwamba huyo mama alifanya jambo la maana kama pesa ya matumizi na kumwezesha mwanae kuishi/kusoma na kulelewa vizuri huko kijijini kwao haikosekani.
Tukirudi kwenye swala la "baba/ mama kua na UWEZO WA KULEA" nadhani unakosea sana unapofikiria uwezo wa kulea upo kwenye pesa pekee.Maana kwa ulivyomwelezea huyo rafikiyo ni dhahiri sio yeye ambae angeshinda na mtoto nyumbani kuhakikisha kwamba anakula na kushinda salama.Wazazi wengi mjini hata nusu saa ya kukaa chini na kuongea na watoto wao hawana kutokana na pilika pilika za mji.Sasa kumlea mtoto katika mazingira hayo hata kama anapata all the latest barbie dolls and little fire tracks it still won‘t make up for the time you/or anyone else closely related to them should spend with them.
Na ndio maana nikasema kwamba muhimu ni mtoto kulelewa kwa upendo na kuyafurahia mazingira aishiyo..kuishi na baba/mama kunaweza kusimpe chochote kati ya hayo mawili hata kama wanatumia pesa kibao kumpeleka hosp akipata homa au kumpeleka shule ambayo haimpi mapenzi anayoyahitaji nyumbani kwasababu wazazi wako bize kutafuta pesa na mtu pekee aliye karibu nae ni mfanyakazi ambae anaweza asiwe
na mapenzi yoyote na huyo mtoto kiasi cha kuweza kumlea kwa taratibu zifaazo.Wakati mtoto huyo huyo angelelewa kijijini (unapopaona duni as if watu wote unaowaona mjini walizaliwa na kulelewa mjini ndo maana wameendelea) na akapata mapenzi mara mia ya ambayo angepata directly toka kwa mzazi wake.
Thought I was chatting with a real gentleman. I better edit my list.... the earlier the better........ the best...... Cheers!So you practice polygamy?
But you still haven't answered my question. What does O-D-M stand for? Ol' Dirty Mbuzi?
Now daddy..keep your cool.
No worry baby..... its me who's supposed to be cool. Thanks for your care.Now daddy..keep your cool.
Thought I was chatting with a real gentleman. I better edit my list.... the earlier the best...... Cheers!
...Narudia tena. Tunatofautiana kimtazamo. Nimetoa mfano wa ndugu yangu, na mazingira ninayoyafahamu.
Kuhusu wote, sina ufahamu huo, kwani kila mtu na experiences zake.
La pili ni hilo la baba anaishi Dar, mama anaishi Arusha, mtoto anaishi kijijini Tanga.
Baba hajamuona binti yake tangu alipoondoka na mama yake, zaidi ya miezi tisa sasa.
Hajui anakula nini, hajui afya yake, yaani communication kuhusiana na binti yake ni Zero!
Sidhani hiyo ni halali.
Tukumbuke, baba mtu kadai haki ya kumuona mwanawe bila mafanikio ndio maana amefikia
kulifikisha suala hili mahakamani. Hapa sidhani kama ninaeleweka kwako nazunguzia Upendo wa aina gani.
Hayo ya huduma nzuri za afya/matibabu, shule nk najua ninachozungumzia na mazingira mtoto alipo.
Naamini tunazungumzia mada ihusuyo Mzazi anapotumia mtoto kumchapia mzazi mwenziwe.
Hudhani huyu baba anayenyimwa haki ya kujua welfare ya mwanawe hayafikirii yote hayo?
Mheshimiwa Moskwito........ kuna msemo mmoja unasemaga.... "baba wa mtoto ni siri ya mama"........ huenda kuna kauwezekano ka siri flani hapo.....Narudia tena. Tunatofautiana kimtazamo. Nimetoa mfano wa ndugu yangu, na mazingira ninayoyafahamu.
Kuhusu wote, sina ufahamu huo, kwani kila mtu na experiences zake.
La pili ni hilo la baba anaishi Dar, mama anaishi Arusha, mtoto anaishi kijijini Tanga.
Baba hajamuona binti yake tangu alipoondoka na mama yake, zaidi ya miezi tisa sasa.
Hajui anakula nini, hajui afya yake, yaani communication kuhusiana na binti yake ni Zero!
Sidhani hiyo ni halali.
Tukumbuke, baba mtu kadai haki ya kumuona mwanawe bila mafanikio ndio maana amefikia
kulifikisha suala hili mahakamani. Hapa sidhani kama ninaeleweka kwako nazunguzia Upendo wa aina gani.
Hayo ya huduma nzuri za afya/matibabu, shule nk najua ninachozungumzia na mazingira mtoto alipo.
Naamini tunazungumzia mada ihusuyo Mzazi anapotumia mtoto kumchapia mzazi mwenziwe.
Hudhani huyu baba anayenyimwa haki ya kujua welfare ya mwanawe hayafikirii yote hayo?