Mentor hii ya leo kama nimevurugwa hapo mwishoni mzee Izadin ndo ana watoto 18? Victor yy hakuomba watoto 100? Victor ameingiaje hapo? Au mzee Izidan alikuwa ndo anakusimulia? Mhhhhh nieleweshe na mimi nielewe.....
Asante sana siku hizi Riwaya ngumu ngumu hatuziwezi tena.....Okey kweli Riziki anapanga Mungu, na mipango siyo matumiziNilikuwa napiga stori na mzee Izadin.
Yeye ndo alinielezea alimwomba Mungu watoto 100 na kwamba mpaka sasa anao 12.
Wakati akinielezea kuwa riziki hapangi binadamu ndo nikkumbuka kisa cha kaka yangu, Victor.
Baadaye akanirudisha kwenye stori yake...
MentaAaaaaaaaaaaaNilikuwa napiga stori na mzee Izadin.
Yeye ndo alinielezea alimwomba Mungu watoto 100 na kwamba mpaka sasa anao 12.
Wakati akinielezea kuwa riziki hapangi binadamu ndo nikkumbuka kisa cha kaka yangu, Victor.
Baadaye akanirudisha kwenye stori yake...
Sio kuchapa kavu tena siku hizi?Kupata UKIMWI mpaka ulogwe mkuu!
Sio kuchapa kavu tena siku hizi?
UKIMWI ni nini? hamnaga hiyo kitu. ingekupata wewe au Mike Mushi ningekubali uwepo wa ugonjwa huoUKIMWI ungekuwa unapatikana kirahisi leo hii tusingekuwa nao kina Nicas Mtei Mtambuzi Mr Rocky arusha 1 Watu8 KakaKiiza Kipaji Halisi babu Asprin Dark City to mention but a few.
Ukiona umeupata jua umelogwa na mtu! Na hivi dawa imepatikana...