Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
- Thread starter
- #21
nakumbuka kitabu cha watoto wa mama ntilie, mwishoni mwandishi akamaliza kwa kuandika, NANI ANAJALI? hii inanikumbusha hadithi ya kisasi niliyoisoma humuhumu JF juu ya tukio alilofanya binti mary, dah! ngoja niishie tu hapa
Hebu nipe link ya hicho kisasi mkuu...