Watoa huduma za Internet, wanaona kile tunaperuzi ?

Watoa huduma za Internet, wanaona kile tunaperuzi ?

Hawaoni kila kitu kama utafanya matumizi ya mtandao salama, yaani ukozingatia usalama mtandaoni mfano ku-surf website zenye SSL certificate (https) kwa lugha nyingine encrypted websites pia kutumia VPN etc. ila ukiingia website haina SSL certificate (http) wahuni wanaona na wanaweza kushare na third party hizo data zako. Ingawa wanaweza kutambua kuwa unatumia VPN.
 
Hawa so called ISP ni kuna namna wakitaka kuchunguza wanaweza kuwa wana access ya kuona nini tunaperuzi wakati tunatumia huduma ya internet wanayotoa ? Au wataona tu website husika uliyotembelea bila kufaham contents zipi ulifatilia?
Wanajua umeingia wapi ila hawajui ume fanya nini, wanajua umeingia fb ila hawajui umeangalia profile ya nani etc. Kama mdau alivyosema hapo juu siku hizi website za kisasa zina encryption ambayo I nabadilisha data mtu wa kati asiweze kuzichungulia.

Sema inategemea pia mtu anazitaka hizo data zako kwa kiasi gani, maana hizo encryption pia zinafunguliwa mtu akiwa serious.
 
Wanajua umeingia wapi ila hawajui ume fanya nini, wanajua umeingia fb ila hawajui umeangalia profile ya nani etc. Kama mdau alivyosema hapo juu siku hizi website za kisasa zina encryption ambayo I nabadilisha data mtu wa kati asiweze kuzichungulia.

Sema inategemea pia mtu anazitaka hizo data zako kwa kiasi gani, maana hizo encryption pia zinafunguliwa mtu akiwa serious.
Hapa nimeelewa, ila sasa inamaana katika huu ulimwengu wa technology hamna permanent encrypted code? Yani kila code inayoundwa ni watu wakituliza kichwa wanaweza itafutia bypass au namna ya kuivunja si ndio ?
 
Hapa nimeelewa, ila sasa inamaana katika huu ulimwengu wa technology hamna permanent encrypted code? Yani kila code inayoundwa ni watu wakituliza kichwa wanaweza itafutia bypass au namna ya kuivunja si ndio ?
YAP.
 
Back
Top Bottom