Wateule wa Rais Magufuli tuondoleeni aibu hii

CHIZI ni msemo tu wa KISIASA ili kupongeza chimvi ya kufurahisha watu.Hakuwa na maana kama hiyo uliyoitaja.
Siasa pia ni lazinma UCHEKESHE watu. usiwe boring.Nafikiri umenipata mkuu.
Mkuu ndio maana kuna vyeo vingine hata safari zako zinaratibiwa sio kwenda popote unapotaka usalama watakwambia hapafai na inabidi utii,vivyo hivyo hutakiwi kusema chochote tu ilimradi kufurahisha genge sio sawa kwa nafasi yake,wewe umewahi kuwaambia hata rafiki zako tu kuwa wewe ni mwehu?? japo kwa kutania tu ??tuanzie hapo.
 
Aliekuwa anamfokea Mkurugenzi alimuandaa mpaka mtu wa kumreko ili waisambaze aonekane yumtendaji maana hii ndio style ya kuyajenga awamu hii. Alipogeuka alimtizama mchukua vidio na alipokuwa anamfokea mkurugenzi aligeuka upande kuhakikisha anaonekana na mkurugenzi anaonekana, bongo muvi.
Tuna wakati mgumu Watanzani miaka 10 itakuwa kama miaka 30.
 
Mkuu ndio maana kuna vyeo vingine hata safari zako zinaratibiwa sio kwenda popote unapotaka usalama watakwambia hapafai na inabidi utii,vivyo hivyo hutakiwi kusema chochote tu ilimradi kufurahisha genge sio sawa kwa nafasi yake,wewe umewahi kuwaambia hata rafiki zako tu kuwa wewe ni mwehu?? japo kwa kutania tu ??tuanzie hapo.
Mkuu nimekuelewa sana. Katika nafasi yake kama rais kuna mambo wanaohusika pengine na usalama wake, kwa mfano wakimwambia "Huko USIENDE muda huu ama pitia njia fulani kwa sababu ya ABCD. Ni LAZIMA atii. Hata kama wabishane naye kwa usalama wake. Hilo ni kweli kabisa.

Hili la namna ya KUTOA maneno kama kiongozi labda handlers wake wasimwogope wamwambie na awe na ka karatasi ka kufuata kama pointi ili ASITELEZE. kila neno analolitamka huchukuliwa kwa UZITO sana katika nafasi yake.
Hivyo basi pengine ASINGELITUMIA! Nimekupata.
 
Nafikiri kauli hiyo alikuwa na maana yeye nu mwepesi kukasirika. Sidhani kama alikuwa akijitangaza na kujishusha kiwango hicho.
Wewe endelea kufikiri tu lakini tumemsikia mwenyewe akisema yeye ni kichaa na hajakanusha hilo mpaka sasa lakini mataahira ya Lumumba ndio yanahangaika kukanusha!
 
Mkuu, rais kusema yeye ni chizi hukuona hizo nyuzi na video clip humu siku chache zilizopita ?jaribu kufatilia kama ulikua hujaziona
Pia kiongozi mkuu wa nchi anaposema ana tatizo la kiakili (chizi,kichaa) means anaongoza watu vichaa pia na ni aibu kwa taifa kuongozwa na mtu mwenye tatizo la akili
(Japo watu walitetea ile kauli. Lakini ni wazi alikubali ana tatizo kichwani)
 
Wewe endelea kufikiri tu lakini tumemsikia mwenyewe akisema yeye ni kichaa na hajakanusha hilo mpaka sasa lakini mataahira ya Lumumba ndio yanahangaika kukanusha!
Okay. Tumsamehe kwa kuteleza.
Ama vipi?
 
Ninapoandika uzi huu sisemi kwamba ni WATEULE wote wa rais wana tabia hii ambayo nitaielelza hapa chini. Ila ni BAADHI yao wajui kabisa ETHICS za KIUTUMISHI.Na wanfanya kama vile mwalimu na mwanafunzi shule za msingi.

Kumekuwa sasa ni kama kawaida MTEULE na MTEULE wakjibizana ama KUFOKEANA mbele ya vyombo vya habari. Hili HALIKUBALIKI kabisa na ni kuvunja MAADILI ya kiutumishi.

Juzi juizi mwingine KAMZABA makofi mtumishi mwenzake.
Mwingine naye kamjibu mteule mwenzake kupitia vyombo vya habari kwamba HAKUBALIANI naye.

DC mwingine naye kamfokea Mkurugenzi,.Sasa tunaenda wapi??
This is unacceptable in a modern society more so kwa watumishi SERIKALI waliopewa DHAMANA ya kuwatumikia wananchi.
Na zaidi ya hayo yote WOTE WANAITUMIKIA
serikali moja na Rais mmoja aliyewateua hivyo ni kusemea. "WOTE ni WATEULIWA" Regardlelss of the pecking order.

Kama kuna KOSA limetokea basi MECHANISMS ZA KIUTAWALA zitumike ndani ya PAZIA pasipo sisi raia kujua chochote kinachoendelea..
KUTATUA kwa KUMFOKEA ama KUMLAUMU mtumishi mwenzako HADHARANI mbele ya WANANCHI hilo si nzuri na Iinatutia AIBU kama Watanzania na serikali kwa ujumla
Tafadhali tuondoleeni AIBU hii!!!.

Sisi kama raia basi tunabaki tukinashangaa. Kwani neno collective responsibility liko wapi AMA KUNA MGAWANYIKO?


Umetoa ushauri mzuri sana.
Tatizo ni kutojiamini kwa wateule hao, na pia kutaka aonekane. Wakimalizia nyuma ya pazia, hataonekana. Yakupasa ujue "Alivyo Baba ndivyo alivyo Mwana"
 
Wewe endelea kufikiri tu lakini tumemsikia mwenyewe akisema yeye ni kichaa na hajakanusha hilo mpaka sasa lakini mataahira ya Lumumba ndio yanahangaika kukanusha!
Umelipata jibu langu mkuu?
 
Umetoa ushauri mzuri sana.
Tatizo ni kutojiamini kwa wateule hao, na pia kutaka aonekane. Wakimalizia nyuma ya pazia, hataonekana. Yakupasa ujue "Alivyo Baba ndivyo alivyo Mwana"
Wengine wanaonekana kama vile wana LOW SELF ESTEEM / na INFERIORTY COMPLEX kutojiamini/nA Kujiona DUNI
Hivyo mtu anafikiri kuwa kila mtu ANAMDHARAU.
Na kama defensive mechanism yake basi ni KUFOKA nakutoa maneno yasiyo na maana iliKUFICHA na KUJIONYESHA!
.Wanahitajika WAJIAMINI sana.
 
Wengine wanaonekana kama vile wana LOW SELF ESTEEM / na INFERIORTY COMPLEX kutojiamini/nA Kujiona DUNI
Hivyo mtu anafikiri kuwa kila mtu ANAMDHARAU.
Na kama defensive mechanism yake basi ni KUFOKA nakutoa maneno yasiyo na maana iliKUFICHA na KUJIONYESHA!
.Wanahitajika WAJIAMINI sana.

Akifoka ndio anadharauliwa kabisa.

Mbwa anaye piga kelele sana angati
 
Aliekuwa anamfokea Mkurugenzi alimuandaa mpaka mtu wa kumreko ili waisambaze aonekane yumtendaji maana hii ndio style ya kuyajenga awamu hii. Alipogeuka alimtizama mchukua vidio na alipokuwa anamfokea mkurugenzi aligeuka upande kuhakikisha anaonekana na mkurugenzi anaonekana, bongo muvi.
Tuna wakati mgumu Watanzani miaka 10 itakuwa kama miaka 30.
Tabia hii ni lazima ikemewe na mkuu wa watumishi wa Umma.
 
Back
Top Bottom