Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,343
- 3,917
kina Mwakawago, wewe kweli muhenga!Ukoo wa kambale huu....wakubwa na watoto wote wana sharubu. Pengine wanaiga style ya baba yao? Nakumbuka kipindi cha "Mchonga" viongozi wengi walijaribu kuiga (bila mafanikio?) sauti na hata namna ya uongeaji. Ni mapito tu.