Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,936
- 30,051
Weka bei hapahapa,Nipigie simu 0717518359 au 0689866100. tumalize biashara. au nitumie namba yako ya simu. nikupigie.
Nina laki6, naweza kupata pump ya aina gani kwako??
Weka bei hapahapa,Nipigie simu 0717518359 au 0689866100. tumalize biashara. au nitumie namba yako ya simu. nikupigie.
Shark, Kuna aina mbili za pampu. kuna pampu za umeme na kuna pampu za petroli.Weka bei hapahapa,
Nina laki6, naweza kupata pump ya aina gani kwako??
Kwani nimetaja ya Petrol au ya Umeme?? Usinilishe maneno mkuu, mi nimekuambia nataka ya laki 6Shark, Kuna aina mbili za pampu. kuna pampu za umeme na kuna pampu za petroli.
sisi tunauza pampu za aina moja ya inch 3 na zote zinatumia petroli.
Sasa kama wewe unatafuta pampu za umeme, Hio sisi hatuna. unaweza kwenda merry water ya victoria au Davis shirtliff ya kamata kariakoo. pale utapata pampu za umeme.
kama uko interested na pampu zetu za Honda. Bei punguzo nakutumia kwenye inbox yako.
laki 6 ngumu mkuu. hizo bei nilizoweka hapo ndio bei nilizopewa na kampuni. Tembelea ofisi zetu za Quality motors ltd ya Tazara, pugu road, halafu omba pampu ya laki 6, kama watakuuzia pampu kwa laki 6 nipigie simu ili nije.Kwani nimetaja ya Petrol au ya Umeme?? Usinilishe maneno mkuu, mi nimekuambia nataka ya laki 6
laki tano ngumu mkuu. ongeza dau.Bajeti yangu laki 5 mkuu
Poa mkuu,hadi nivune vitunguu,ntakutafuta mkuu maana naziamini sana bidhaa za honda maana namiliki 110 aloniachia babulaki tano ngumu mkuu. ongeza dau.
sawa mkuuPoa mkuu,hadi nivune vitunguu,ntakutafuta mkuu maana naziamini sana bidhaa za honda maana namiliki 110 aloniachia babu
kama inawezekana ungeanza kwa kuwekeza ili nikuwekee oda yako mapema. Saba Saba ikianza pampu huwa zinauzwa zote mpaka zinaisha. kusubiri Stock mpya inachukua muda kuingia.Mkuu mwez wa 8 naanza project zangu ntakutafuta nadhani hizi pump zitanifaa
Mkuu nataka moja ila mbona niliambiws ni laki mbili?Habari wadau, Tuna mashine mpya za water pump, Generator, na brush cutter zote kutoka kampuni ya Honda. kwa wale wadau ambao walikuwa wanazitafuta mali hizi basi nawaambia zimekuja tena na zipo stock. Kwa wadau wa mikoani tunawasafirishia mzigo (gharama utalipia)
1-Water Pump Honda Wb30xh size inch 3 inatumia petrol- Bei MIl 1.1 (warranty mwaka 1)
2-Brush cutter Honda Umk435, mashine ya kukata nyasi- Bei Mil 2 (warranty mwaka 1)
3-Generator EG 1000 Honda, k.v.1- Bei Mil 1.3 (warranty mwaka 1)
4-Generator FA2500 Honda k.v 2.2 - Bei Mil 1.4 (warranty mwaka 1)
5-Generator EU20i Honda k.v.2 silent generator - Bei Mil 3.5 (warranty mwaka 1)
6-Generator EG6500 CXS K.v. 5.5. - Bei Mil 5.1 (warranty mwaka 1)
SIMU - 0689866100, 0717518359 AU FIKA OFISINI KWETU MSASANI,DAR QUALITY MOTORS.
View attachment 355998 View attachment 355999 View attachment 356001 View attachment 356001 View attachment 356002 View attachment 356002 View attachment 356003 View attachment 356004 View attachment 356005
hatuna pampu za laki 2 na hata genereta za laki mbilli hatuna. labda ukanunue iliyotumika kwa mtu ndio utapata.Mkuu nataka moja ila mbona niliambiws ni laki mbili?
Mkuu hii machine ya kukatia majani inafaa kwa matumizi ya shmbani yani heavy duty au ni majani ya nyumbani?bosi nitafute kwenye simu au nipe namba yako nikutafute.