SupuyaPweza
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 914
- 471
Jazia nyama hii stori kaka!Hili laweza tokea Tanzania ya leo?
Hapa sielewi kitu
Hawa ni Bill Clinton na Mkewe Hillary wakiwa wamekutana miaka ya 1971... Wanaelekea kuwa viongozi wa juu wa Marekani na kuweka historia ya nchi hiyo kwa mtu na mkewe kuingia ikulu ya white house... Swali ni kuwa hali kama hii inaweza kujitokeza kwa first lady yeyote wa Tz kuingia ikulu ya magogoni/chamwino wakati mumewe akiwa hai?...Jazia nyama hii stori kaka!
Kwa hizi sacos zao wanazo anzisha waumezao wakiwa Ikulu... sizani!Hawa ni Bill Clinton na Mkewe Hillary wakiwa wamekutana miaka ya 1971... Wanaelekea kuwa viongozi wa juu wa Marekani na kuweka historia ya nchi hiyo kwa mtu na mkewe kuingia ikulu ya white house... Swali ni kuwa hali kama hii inaweza kujitokeza kwa first lady yeyote wa Tz kuingia ikulu ya magogoni/chamwino wakati mumewe akiwa hai?...