PostGE2025 Watekaji wanajulikana mbona!

PostGE2025 Watekaji wanajulikana mbona!

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
857
Reaction score
2,289
Mtu ametekwa baada ya kumsema kiongozi fulani au kukosoa jambo fulani. Halafu anatekwa unasema waliomteka hawajulikani. Kweli?

Leo ukigombana na mtu ukamtishia maisha anakutipoti polisi na ikitokea amepata madhata kwa namna yoyote polisi wataanza na wewe.

Sasa hili suala la mtu anamkosoa mtu fulani halafu anatekwa mnasemaje watekaji hawajulikani.

Wanaoteka raia ni hao wanaosemwa na hao raia.

Mimi ukiniuliza mtekaji ni nani ntakwambia msajili wa vyama maana baada ya gwajima kukemea utekaji alimfutia usajili wa Makanisa yake.

So hata alimsema Kiongozi yeyote kisha akatekwa basi mtekaji ni aliesemwa.
 
iko wazi kama ya mbuzi. ..... haihitaji hata akili ya kuvukia barabara kuligundua hili
 
Back
Top Bottom