Wateja wanaleta hela za noti huku wamezichana kwenye kona

Iyo anayechana huwa ni muuzaji baada ya kuipokea toka kwa mteja.Nia huwa ni kuzuia chum ulete(morogoro wanaita bukula).Muuzaji baada ya kuipokea toka kwa mteja kabla ya kuichanganya na zingine ndio huichana kidogo hapo akiwa na maana anaondoa uchawi wa chuma ulete....Kuna anayeweka kipande cha mkaa katika mfuko/droo/pochi ya makusanyo ya mauzo(hela) kama kizuia chuma ulete....Mbinu zote sina uhakika nazo mana sijawahi kutumia na sina imani iyo..UKINIIBIA NAKUJIA NDOTONI
wengine wanaweka biblia kwenye droo ya mauzo,,nadhani hawa ndyo wajanja zaidi
 
Back
Top Bottom