Habari wanaJF, Nimetengeneza uzi huu ili kusaidia kurahisisha Biashara kati ya Mkulima na Mnunuzi. Kwa yeyote mwenye mazao au anahitaji mazao Basi Ukumbi ni wako!!!!
Wadau habar, nina tikit-imaji ambazo zitakuwa tayar (1 acre) kuvunwa kwanzia wiki ya pili ya mwezi wa 10,naomba wadau wa masoko tafadhali.
Mzigo upo Vikindu. Mawasiliano 0714-087253 & 0784-429215 Karibuni Sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.