papaayenga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 765
- 501
Hapo ndipo ukweli kua sayansi tunayo ifahamu sisi binaadamu ni sehemu ndogo sana ya elimu tuliopewa na Allah yapo mambo mengi na makubwa abayo hatuyajui,nawala kwa hii elimu yetu ndogo ya sayansi tusijaribu kumpangia M/Mungu eti HAKUNA HUKUMU YA ADHABU KWA WAOVU NA PEPO KWA WEMA SIKU YA MWISHO