Na mwaka huu Chadema Kwa kuwa uraisi haitafikisha hata Kura milioni mbili za wapiga Kura wote, Shida zaidi Ikiwa haitapeleka wabunge wengi Bungeni, Ndio mwisho wa Chama hicho kuwika mjini
2025 CCM haitaweka nguvu kubwa kuchukua nchi,
Watanzania bhana! Ni watu wengine kabisa na hawatabiliki!
Inahitaji muda kuwafahamu Watanzania