Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,802
Si mnakumbuka mzee Meko alivyotishia kuwatimua wateule wake ambao wangeshindwa kufikia malengo ya uandikishaji? Kilichotokea mnakijua, ndani ya siku tatu mkoa wa Dar, uliokuwa wa mwisho, ghafla ukapanda mpaka 3 bora.
Hakuna mwandishi wa habari aliyethubutu kuhoji siri ya mafanikio haya ya ghafla kama uyoga. Natabiri vile vile tarehe 24 kuambiwa asilimia 90 ya waliojiandikisha wamejitokeza kupiga kupiga kura.
Hivi mnaijua CCM au mnaisikia? Mimi nitakuwa wa kwanza kupiga kura mapemaaaa japo safari hii tutatumia ule mfumo wa kivuli cheusi na sura, wale wahenga nadhani mnakumbuka chaguzi zetu za 1980s.
Hakuna mwandishi wa habari aliyethubutu kuhoji siri ya mafanikio haya ya ghafla kama uyoga. Natabiri vile vile tarehe 24 kuambiwa asilimia 90 ya waliojiandikisha wamejitokeza kupiga kupiga kura.
Hivi mnaijua CCM au mnaisikia? Mimi nitakuwa wa kwanza kupiga kura mapemaaaa japo safari hii tutatumia ule mfumo wa kivuli cheusi na sura, wale wahenga nadhani mnakumbuka chaguzi zetu za 1980s.