matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,958
Wakati ndugu zao walioko kijijini uhisi ndugu zao wa mjini wanaishi vizuri.
Ukweli ni kuwa wengi wamepanga chumba kimoja, umo umo ndoo za maji ya kunywa na kuoga, kitanda, vyombo etc.
Hawana na tofauti na wanafunzi wa hostel. Lengo langu si kuwasema vibaya bali mjitahidi mpige kazi kwa juhudi mtoke kulala stoo na kupanga nyumba nzima.
Siyo wageni wakija washindwa hadi kubadilisha nguo na kwenda kubadilisha nje.
Juhudi yako binafsi ndio itakunasua usilale stoo cha muhimu upige kazi usupoteze muda kupiga majungu.
Kazi kwenu sasa
wewe uko kundi gani?