Watanzania wengi wanalala Stoo/Store

Watanzania wengi wanalala Stoo/Store

KiuyaJibu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2007
Posts
852
Reaction score
204
UTAFITI unaonyesha zaidi ya asilimia 90 ya Watanzania wanalala "Stoo/Store", Haiwezekani chumba cha kulala Mtu kiwe na vitu vyote hivi: Ndoo za maji, Sufuria, Jiko, viroba vya Mkaa, Sofa, Kitanda, Kabati, Friji, Kopo la Kuogea, Mabegi ya Nguo, Meza ya chakula, Baiskeli, Pikipiki, mifagio.
Je, Wewe kwako kuko hivyo?
 
Wakati ndugu zao walioko kijijini uhisi ndugu zao wa mjini wanaishi vizuri.

Ukweli ni kuwa wengi wamepanga chumba kimoja, umo umo ndoo za maji ya kunywa na kuoga, kitanda, vyombo etc.

Hawana na tofauti na wanafunzi wa hostel. Lengo langu si kuwasema vibaya bali mjitahidi mpige kazi kwa juhudi mtoke kulala stoo na kupanga nyumba nzima.

Siyo wageni wakija washindwa hadi kubadilisha nguo na kwenda kubadilisha nje.

Juhudi yako binafsi ndio itakunasua usilale stoo cha muhimu upige kazi usupoteze muda kupiga majungu.

Kazi kwenu sasa
 
Wakati ndugu zao walioko kijijini uhisi ndugu zao wa mjini wanaishi vizuri.

Ukweli ni kuwa wengi wamepanga chumba kimoja, umo umo ndoo za maji ya kunywa na kuoga, kitanda, vyombo etc.

Hawana na tofauti na wanafunzi wa hostel. Lengo langu si kuwasema vibaya bali mjitahidi mpige kazi kwa juhudi mtoke kulala stoo na kupanga nyumba nzima.

Siyo wageni wakija washindwa hadi kubadilisha nguo na kwenda kubadilisha nje.

Juhudi yako binafsi ndio itakunasua usilale stoo cha muhimu upige kazi usupoteze muda kupiga majungu.

Kazi kwenu sasa
Inaonyesha jinsi gani ulivyo limbukeni wa maisha,Hebu taja au onyesha aliyewahi kuja mjini na kwenda moja kwa moja kuishi nyumba iliyokamilika au isiyokuwa chumba kimoja!. Wewe inaonyesha kwanza bado uko kwa shemeji au Kaka yako.
 
Mimi nimefika mjini tu nikafikia nyumba zinaitwa upande yani vyumba viwili sebule jiko choo na bafu lkn sifagilii hata kidogo kuwa na nyumba yenye nafasi coz wageni hawaishi kwa iyo hufanyi maendeleo kila kukicha unafikiria menu yao ili wardhike kweli nawakubali weupe kwenye hili.
 
Mjini uwe na pesa na nyumba ya maana,pia kijijini unaweza kujiachia maana kuna maeneo ya kutosha na gharama ya maisha hasa misosi haisumbui akili unaingia tu shamba.

Shambani nao wasiwacheke wa mjini kivile eti wamebanana maana unakuta mtu kajenga nyumba kubwa la bati vyumba kama nane,chumba cha watoto wake na wamajirani kulala usiku humo humo,yeye na mke wake humo humo,ng'ombe,mbuzi,kitimoto,punda,mbwa,paka,wote pamoja wakibanana,kwenye dari kuna kuku wa kienyeji wananyea chini,jikoni wapishi na vigoda vyao wanaangaliana opposite na paka anayemelea maziwa ukigeuka kadokoa nyama,ukiwa na tv majirani watajazana kama taarifa ya habari imeisha watakulazimisha hata waangalie kwaya.
 
mjini uwe na pesa na nyumba ya maana,pia kijijini unaweza kujiachia maana kuna maeneo ya kutosha na gharama ya maisha hasa misosi haisumbui akili unaingia tu shamba.

Shambani nao wasiwacheke wa mjini kivile eti wamebanana maana unakuta mtu kajenga nyumba kubwa la bati vyumba kama nane,chumba cha watoto wake na wamajirani kulala usiku humo humo,yeye na mke wake humo humo,ng'ombe,mbuzi,kitimoto,punda,mbwa,paka,wote pamoja wakibanana,kwenye dari kuna kuku wa kienyeji wananyea chini,jikoni wapishi na vigoda vyao wanaangaliana opposite na paka anayemelea maziwa ukigeuka kadokoa nyama,ukiwa na tv majirani watajazana kama taarifa ya habari imeisha watakulazimisha hata waangalie kwaya.
tehe tee tee te te!!!
 
Wakati ndugu zao walioko kijijini uhisi ndugu zao wa mjini wanaishi vizuri.

Ukweli ni kuwa wengi wamepanga chumba kimoja, umo umo ndoo za maji ya kunywa na kuoga, kitanda, vyombo etc.

Hawana na tofauti na wanafunzi wa hostel. Lengo langu si kuwasema vibaya bali mjitahidi mpige kazi kwa juhudi mtoke kulala stoo na kupanga nyumba nzima.

Siyo wageni wakija washindwa hadi kubadilisha nguo na kwenda kubadilisha nje.

Juhudi yako binafsi ndio itakunasua usilale stoo cha muhimu upige kazi usupoteze muda kupiga majungu.

Kazi kwenu sasa

mkuu. huko ughaibuni wabeba box mmepanga nyumba nzima?
 
Inaonyesha jinsi gani ulivyo limbukeni wa maisha,Hebu taja au onyesha aliyewahi kuja mjini na kwenda moja kwa moja kuishi nyumba iliyokamilika au isiyokuwa chumba kimoja!. Wewe inaonyesha kwanza bado uko kwa shemeji au Kaka yako.

huyo jamaa ni kula kulala, hayajui maisha...
 
acha dharau wewe matajiri wote unaowaona wameanza kupanga chumba kimoko au nyumba nzima kutegemeana na kipato cha mtu.
 
Wakati ndugu zao walioko kijijini uhisi ndugu zao wa mjini wanaishi vizuri.

Ukweli ni kuwa wengi wamepanga chumba kimoja, umo umo ndoo za maji ya kunywa na kuoga, kitanda, vyombo etc.

Hawana na tofauti na wanafunzi wa hostel. Lengo langu si kuwasema vibaya bali mjitahidi mpige kazi kwa juhudi mtoke kulala stoo na kupanga nyumba nzima.

Siyo wageni wakija washindwa hadi kubadilisha nguo na kwenda kubadilisha nje.

Juhudi yako binafsi ndio itakunasua usilale stoo cha muhimu upige kazi usupoteze muda kupiga majungu.

Kazi kwenu sasa

:what: Every journey starts at zero, matajiri wote unaowaona ndivyo walivyoanza maisha! Haina mantiki iyo
 
Mtoa mada ana degedege kichwani and his head is number seven i.e ana iq ya below fourty
 
Wakati ndugu zao walioko kijijini uhisi ndugu zao wa mjini wanaishi vizuri.

Ukweli ni kuwa wengi wamepanga chumba kimoja, umo umo ndoo za maji ya kunywa na kuoga, kitanda, vyombo etc.

Hawana na tofauti na wanafunzi wa hostel. Lengo langu si kuwasema vibaya bali mjitahidi mpige kazi kwa juhudi mtoke kulala stoo na kupanga nyumba nzima.

Siyo wageni wakija washindwa hadi kubadilisha nguo na kwenda kubadilisha nje.

Juhudi yako binafsi ndio itakunasua usilale stoo cha muhimu upige kazi usupoteze muda kupiga majungu.

Kazi kwenu sasa

Wewe husumbui hata kidogo, wote tunafahamu kama wewe ni mtoto wa mama. Kula, kulala tu!
 
Wakati ndugu zao walioko kijijini uhisi ndugu zao wa mjini wanaishi vizuri.

Ukweli ni kuwa wengi wamepanga chumba kimoja, umo umo ndoo za maji ya kunywa na kuoga, kitanda, vyombo etc.

Hawana na tofauti na wanafunzi wa hostel. Lengo langu si kuwasema vibaya bali mjitahidi mpige kazi kwa juhudi mtoke kulala stoo na kupanga nyumba nzima.

Siyo wageni wakija washindwa hadi kubadilisha nguo na kwenda kubadilisha nje.

Juhudi yako binafsi ndio itakunasua usilale stoo cha muhimu upige kazi usupoteze muda kupiga majungu.

Kazi kwenu sasa

Baada ya kukosa udaku, leo unaibuka na bumba ya aina nyingine! Unafanya kazi gani vile!
 
Wakati ndugu zao walioko kijijini uhisi ndugu zao wa mjini wanaishi vizuri.

Ukweli ni kuwa wengi wamepanga chumba kimoja, umo umo ndoo za maji ya kunywa na kuoga, kitanda, vyombo etc.

Hawana na tofauti na wanafunzi wa hostel. Lengo langu si kuwasema vibaya bali mjitahidi mpige kazi kwa juhudi mtoke kulala stoo na kupanga nyumba nzima.

Siyo wageni wakija washindwa hadi kubadilisha nguo na kwenda kubadilisha nje.

Juhudi yako binafsi ndio itakunasua usilale stoo cha muhimu upige kazi usupoteze muda kupiga majungu.

Kazi kwenu sasa

Unajuaje kila mtu anataka wageni?
 
Baada ya kukosa udaku, leo unaibuka na bumba ya aina nyingine! Unafanya kazi gani vile!

huu uzi sio wake ameuiba kule jukwaa la great thinker kuna member ali post ukakosa wachangiaji!
 
huu uzi sio wake ameuiba kule jukwaa la great thinker kuna member ali post ukakosa wachangiaji!

Jukwaa la great thinker sijawai kuingia hivyo usiseme jambo ambalo huna uhakika.

Ni mawazo yangu binafsi
 
Back
Top Bottom