KiuyaJibu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 852
- 204
UTAFITI unaonyesha zaidi ya asilimia 90 ya Watanzania wanalala "Stoo/Store", Haiwezekani chumba cha kulala Mtu kiwe na vitu vyote hivi: Ndoo za maji, Sufuria, Jiko, viroba vya Mkaa, Sofa, Kitanda, Kabati, Friji, Kopo la Kuogea, Mabegi ya Nguo, Meza ya chakula, Baiskeli, Pikipiki, mifagio.
Je, Wewe kwako kuko hivyo?
Je, Wewe kwako kuko hivyo?