- Thread starter
- #21
Dr Slaa alienda Kigoma kupigania hayo??
Unachekesha,
Abnormal ni wewe uliyeshindwa kugundua kwamba chama kinaendeshwa kibabe,na Dr Slaa alienda Kigoma akihisi anamkomoa Mh Zitto kumbe wanaenda kumpopoa,
Alafu mshauri wake yule muhuni lema(mini kabaang) na mchungaji Msigwa wanakula bata Dar
Naona ma-abnormal wameshaingia. Kama chama kinaendeshwa kibabe acheni wanachadema waamue. Kwa nini ccm wanakosa usingizi?