Bambo
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 238
- 50
Raia wa Tanzania wanaosafiri na ndege ya Oman (yaani OMANAIR)toka Dar es salaam wafikapo muscat hawaruhusiwi kutoka nje ya uwanja wa ndege hata kama wana long stay on transit.
Kutokana na kinachoelezwa kuwa wenzao wapatao 5 wamezamia mjini humo baada ya kupewa pass ya muda na kutoka airport kupelekwa kwenye hotel kwa vile kwa connection zingine kama za UK inabidi mtu akae masaa 15 kabla ya connection.
Nilishuhudia watanzania wengine ambao walilipishwa extra money $50 mjini dar kwa ajili ya hotel mjini muscat wakiambiwa kuwa abiria wa Dar es salaam hawaruhusiwi kupelekwa hotel nje ya airport.
Kutokana na kinachoelezwa kuwa wenzao wapatao 5 wamezamia mjini humo baada ya kupewa pass ya muda na kutoka airport kupelekwa kwenye hotel kwa vile kwa connection zingine kama za UK inabidi mtu akae masaa 15 kabla ya connection.
Nilishuhudia watanzania wengine ambao walilipishwa extra money $50 mjini dar kwa ajili ya hotel mjini muscat wakiambiwa kuwa abiria wa Dar es salaam hawaruhusiwi kupelekwa hotel nje ya airport.