Watanzania "wanyonge" na "masikini" tutaje nafuu tuliyoipata tangu awamu ya tano iingie madarakani

Mimi nahisi mkuu Wa kaya yuko bize nakutafuta Nani kaiba, Nani mvivu, Nani hafuati maelekezo yake, bt issue za maendeleo spid yake ni ndogo sana ,bado hospital huduma sio nzuri, maji vjijin maji nishida, barabara ni tatizo, mfumuko wa bei niwakutsha, honestly maisha yamezd kuwa magumu
 
Maisha yamekua mepesi sana.
Manoti hayakauki mfukoni
Sukari kilo imeshuka toka 2000 mpaka 3500
Fungu la mchicha limeshuka toka 200 hadi 500
Inshort mambo yapo gudi.
 
ETI kupanda daraja tusubiri mwezi mmoja au mmoja na nusu.unakuwa mtawala gani mjinga unakosana na wafanyakazi?morali 00%
 
Serikali ya awamu ya tano imekuwa ikijinasibu kwamba ina kazi ya kutetea wanyonge na masikini wa nchi hii.

Kama taifa hatujapata tafsiri ya hakika ya "mnyonge" pengine masikini tunaweza kuelewa.

Bajeti imepita, maisha yanaendelea, wale wanyonge na masikini mpaka sasa mmeona dalili za unafuu tangu serikali iingie madarakani?

Binafsi ninachokiona ni umasikini mkali kupindukia na uliokosa suluhisho la muda mfupi na mrefu,badala yake tunaambiwa tulizoea hela za bure na hatufanyi Kazi.

Sheria kandamizi za kodi ikiwamo ile ya miamala zinapigilia misumari kwenye umasikini huh kwa kuwa serikali imelenga kuzipata hata elfu mbilimbili za masikini.

Kwa upande wa unyonge ndio haswa,hakuna anqyejua unyonge ni nini mpaka sasa pengine ikiwamo hao wanaotuhubiria.

Ewe maskini na mnyonge, hebu tuambie mwenzetu. Maisha yako sasa yako vizuri, angalau hata dalili?
Rais aliwahi kusema. wale wanaoona fedha imepungua mifukono mwao ni wale ambao walikuwa wakipata fedha kwa njia haramu. Kwa kweli mimi kama mimi bado sijaona tofauti kati ya maisha katika serikali ya awamu ya nne na hii. Fedha inapatikana kwa kufanya kazi kwa bidii. Itoshe kwa leo kuyasema hayo.
 
shule chache serikali imelala tu kila mwaka waseme shule chache :):):) maana CBG ni comb rahisi sana kuanzisha kwenye shule yenye PCB na HGL haihitaji hata walimu wa ziada!
Ikumbukwe CBG siku hizi naelekea kubayaaa
 
Angalau serikali ya awamu ya tano imethubutu kuwagusa wale waliokuwa hawagusiki, kufanya yale yaliyoonekana haiwezekani. Kwa sababu hiyo maisha bora kwa Mtz yanaonekana japo kwa mbali. Tumaini jipya limezuka ndani ya mioyo ya wengi. Inajionyesha dhahiri Tz iliyonyooka inakuja na ile ya ujanjajanja inelekea kaburini. Usitake kuleta mihemuko, maskini na wanyonge tunatambua hiki ni kipindi cha mpito. Mambo mazuri yanahitaji muda na gharama.
Hebu tupe mfano wa alichikigusa ambacho kiliwashinda wengine..??
 
Watanzania wanyonge na maskini ni wapi??
Je,humu JF kuna wanyonge na maskini??
Great thinkers wanaweza kuwa wanyonge na maskini???
Kama wapo humu ndani tunawajuaje ili tusipokee maoni yasiyotoka kwa walengwa????
 
Tatu, Kushuka bei ya umeme majumbani, sahivi mie nalipia 10000 mwezi mzima wakati nilikuwa lazima nitoe 40000.
Naomba unisaidie mahesabu yaliyopelekea matumizi yako ya umeme yashuke toka 40,000 hadi 10,000. Tafadhali nenda item by item kwa kila ambacho serikali imepunguza ili na sisi wengine tupate elimu na tupunguze gharama hizo.
 
Wanasema mgaagaa na upwa hali wali mkavu ila kwa awamu hii sio kula wali mkavu hata pumba tutakula wao wanamwaga maziwa na asali. Sijui Mungu yupo wapi atuvushe hii bahari ya sham.
 
Serikali ya awamu ya tano imekuwa ikijinasibu kwamba ina kazi ya kutetea wanyonge na masikini wa nchi hii.

Kama taifa hatujapata tafsiri ya hakika ya "mnyonge" pengine masikini tunaweza kuelewa.

Bajeti imepita, maisha yanaendelea, wale wanyonge na masikini mpaka sasa mmeona dalili za unafuu tangu serikali iingie madarakani?

Binafsi ninachokiona ni umasikini mkali kupindukia na uliokosa suluhisho la muda mfupi na mrefu,badala yake tunaambiwa tulizoea hela za bure na hatufanyi Kazi.

Sheria kandamizi za kodi ikiwamo ile ya miamala zinapigilia misumari kwenye umasikini huh kwa kuwa serikali imelenga kuzipata hata elfu mbilimbili za masikini.

Kwa upande wa unyonge ndio haswa,hakuna anqyejua unyonge ni nini mpaka sasa pengine ikiwamo hao wanaotuhubiria.

Ewe maskini na mnyonge, hebu tuambie mwenzetu. Maisha yako sasa yako vizuri, angalau hata dalili?
Dah.....utakuwa jipu tu wewe..
 
1) Hivi Dawa Hospitalini Zipo?
2) Hivi Mishahara ya Waalimu inalipwa kwa wakati?
3) Hivi watoto wameshaacha Kulipa Karo, Na Je wote wana Madawati?
4) Je Vifaa vya Waalimu vya Kufundishia Vipo?
5) Je Raia anapewa haki ya Kikatiba, au Ndio Kukamatwa ovyo na Kuwekwa Rumande zaidi ya Masaa 48
6) Je wakulima wanalipwa Mazao yao sasa?
7) Je Viwanda Vimeshajengwa?
8) Je Vijana wanapatiwa ajira?
9) Je Mikopo ya Wanafunzi inatolewa kwa wakati.
10) Je Bei za Bidhaa Muhimu, Sukari, Unga, Mafuta ya Kupikia, Nyama etc bei hizo zikoje.

Mambo Haya yakiboreka, Kama Mtanzania wa kiwango cha Chini akikiri kuwa Maisha yake, kwa gharama kwa sasa awamu ya Tano amekuwa Ahueni Nitasema Heko Magu. Kama Awamu hii maisha ni ya shida na Magumu Kuliko awamu ya Nne basi Kazi Imemshinda Mh.
 
Unyonge Na umasikini siyo sifa nzuri bali upum..bavu WA kujitakia. A man is responsible for his own development, his family and nation acheni kukumbatia umasikini.
Kusema ukweli ni tiba kuliko kujitwika jakamoyo la uongo, we mwenyewe ni masikini mbwa hapo, asilimia kubwa ya watanzania ni masikini hakuna la kupinga hilo na si kama kuwa wanaupenda umasikin
 
Kusema ukweli ni tiba kuliko kujitwika jakamoyo la uongo, we mwenyewe ni masikini mbwa hapo, asilimia kubwa ya watanzania ni masikini hakuna la kupinga hilo na si kama kuwa wanaupenda umasikin

Mimi siyo masikini, nchi yangu siyo masikini wewe siyo masikini kataa umasikini hata lowassa anachukia umasikini nashangaa unaukumbatia utafikiri almasi!!!!!
 
Naona hata JF wale jamaa wana majibu kama haya,wao hawadili na ishu,wanadili na watu.

Hapo ndipo wanapowadanganya watanzania.Watanzania hawahoji tena mambo ya msingi,wanasubiri mkubwa fulani kamfukuza mwenzie,akirudi nyumbani hana chochote kabakiza stork tu kwa Mke NA wanae wanaopiga miayo.
Watoto wa masikini wataendelea kusoma shule za kata na kupata div 0 shule nzima. halafu mtu anashangilia eti serikli imewanyoosha
 
Rais Magufuli KASHINDWA tayari
Tusubiri tu 2020 mabomu ya polisi yamrudishe madarakani
Kahindwa kwenye kila kitu,priority zake sasa ni kupanga makada wawe Wakurugenzi wasimamie uchaguzi wa 2020

Hamna kitu huyu!
 
Back
Top Bottom