Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,169
- 48,681
Mimi baada ya kuona wajinga ni wengi sana wamejaa kwenye kapu nikaamua kutoka nje ya kapu.
Nilikuwa najua Watanzania wengi ni wajinga lakini sikujua kuwa ni wengi kwa kiasi hichi.
Kitendo cha Watanzania wapenda mabadiliko kuanza kuwategea sikio la matumaini Gwajima na Polepole kilitosha kujua watu wengi katika nchi hii ni matahira.
Zaidi ya 75% ni matahira.
Mtu aliyekukandamiza kwa miaka kadhaa Leo hii unamuunga mkono 😭😭😭.
Gwajima alichangia kwa % kubwa kuvuruga upinzani 2015 ambapo upinzani walipata penalt dk ya 1.
2011-2015 wapinzani waliimba CCM na Lowasa ni mafisadi, mpaka watoto wadogo walijua kuwa Lowassa ni fisadi papa , CCM ni majangiri.
Ghafla Gwajima kamleta Lowasa CHADEMA, ahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 Polepole ndo usiseme kabisa.
Miaka 5 CHADEMA hawakupata ruhusa kueleza jambo lolote kwa wananchi. Hata vikao vya ndani walitumiwa polisi, kipindi hicho Polepole na Magufuli wakijenga chama na kujijenga wao wenyewe.
Nilipoona Wapinzani wanawaunga mkono hawa matapeli wa kiasiasa sitaki kabisa kusikia habari za upinzani.
Lissu atoke akaishi ULAYA kwa wenye akili wenzake.
Mwisho: Watanzania acheni kukwepa kodi, Samia anataka atujengee nyumba watumishi wote wa umma. Lipeni kodi tafadhali
Nilikuwa najua Watanzania wengi ni wajinga lakini sikujua kuwa ni wengi kwa kiasi hichi.
Kitendo cha Watanzania wapenda mabadiliko kuanza kuwategea sikio la matumaini Gwajima na Polepole kilitosha kujua watu wengi katika nchi hii ni matahira.
Zaidi ya 75% ni matahira.
Mtu aliyekukandamiza kwa miaka kadhaa Leo hii unamuunga mkono 😭😭😭.
Gwajima alichangia kwa % kubwa kuvuruga upinzani 2015 ambapo upinzani walipata penalt dk ya 1.
2011-2015 wapinzani waliimba CCM na Lowasa ni mafisadi, mpaka watoto wadogo walijua kuwa Lowassa ni fisadi papa , CCM ni majangiri.
Ghafla Gwajima kamleta Lowasa CHADEMA, ahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 Polepole ndo usiseme kabisa.
Miaka 5 CHADEMA hawakupata ruhusa kueleza jambo lolote kwa wananchi. Hata vikao vya ndani walitumiwa polisi, kipindi hicho Polepole na Magufuli wakijenga chama na kujijenga wao wenyewe.
Nilipoona Wapinzani wanawaunga mkono hawa matapeli wa kiasiasa sitaki kabisa kusikia habari za upinzani.
Lissu atoke akaishi ULAYA kwa wenye akili wenzake.
Mwisho: Watanzania acheni kukwepa kodi, Samia anataka atujengee nyumba watumishi wote wa umma. Lipeni kodi tafadhali