Watanzania Wanapodharauliwa na Kutukanwa

Watanzania Wanapodharauliwa na Kutukanwa

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2009
Posts
3,444
Reaction score
265
Hivi mtu mwenye akili timamu anawezaje kuipa barabara jina la Mwahi kibaki? Jamani hii nchi inaelekea wapi wandugu zangu. Hii imeshatokea. Nawaomba watanzania wenzangu waendelee kuliita hii barabara Old-Bagamoyo Road. Msikubali huu upuuzi. Mwisho tutakuja kuziita barabara zetu Mungiki Road !
482484_507276975982805_1605657235_n.jpg
 
Muliyataka haya 2010 sasa haina budi kukubali. Inabidi muangalie kura zenu vizuri 2015. Support M4C.
 
NYERERE ALISEMA! Tunachokianzisha sisi tunakidharau tunachukua vya wengine....
 
Hivi mtu mwenye akili timamu anawezaje kuipa barabara jina la Mwahi kibaki? Jamani hii nchi inaelekea wapi wandugu zangu. Hii imeshatokea. Nawaomba watanzania wenzangu waendelee kuliita hii barabara Old-Bagamoyo Road. Msikubali huu upuuzi. Mwisho tutakuja kuziita barabara zetu Mungiki Road !
482484_507276975982805_1605657235_n.jpg
kuna wakati nilipata taarifa toka kwa mkenya mmoja rafiki yangu kuwa baba naniliyu alikuwa anatafuta plot bempezoni mwa thika road highway-nairobi ili ajijengee hotel....kama mpango huo ulifanikliwa,basi hizi za kuipa barabara ya bongo jina mwai kibaki ndio fadhila zenyewe.
 
Old Bagamoyo Road ndio mpango mzima. To hell with mwai kibaki road. Ametufanyia nini cha maana hadi apate heshima hiyo!??

Nchi hii ina mashujaa wengi sana ambao wanastahili kuenziwa kwa kupewa heshima kama hiyo. Kama kikwete na maccm wenzake wamewasahau awaulize wananchi watawatajia maelfu ya mashujaa wetu wanaostahili heshima hiyo. Ni kheri mara elfu kumi wangeipa jina la mpigania uhuru mmoja wa kariakoo kuliko hiki kituko alichotufanyia kikwete.

Haya ni maajabu kuipa barabara yetu jina la mwizi wa kura ambaye pia ni kibaka wa demokrasia nchini mwake.
 
Old bagamoyo is historic name, why kibaki road? What happen?
 
Old Bagamoyo Road ndio mpango mzima. To hell with mwai kibaki road. Ametufanyia nini cha maana hadi apate heshima hiyo!??

Nchi hii ina mashujaa wengi sana ambao wanastahili kuenziwa kwa kupewa heshima kama hiyo. Kama kikwete na maccm wenzake wamewasahau awaulize wananchi watawatajia maelfu ya mashujaa wetu wanaostahili heshima hiyo. Ni kheri mara elfu kumi wangeipa jina la mpigania uhuru mmoja wa kariakoo kuliko hiki kituko alichotufanyia kikwete.

Haya ni maajabu kuipa barabara yetu jina la mwizi wa kura ambaye pia ni kibaka wa demokrasia nchini mwake.

Yaani mimi nashindwa pale magogoni kuna nini. Mtu mzima lakini vitu anavyofanya nadhani hata Form 4 hawezi kufanya. Jamani Rais wetu nashindwa kabisa
 
Siku zote na itabakia kuwa RAIS WETU NI DHAIFU janga la taifa.....
 
Rais ni kuliko janga anafuta mpaka historia ya kwao kweli udhaifu unadhihirika, kama amefanya hivi kwao watu wa mtwara wategemee nini
 
Hivi mtu mwenye akili timamu anawezaje kuipa barabara jina la Mwahi kibaki? Jamani hii nchi inaelekea wapi wandugu zangu. Hii imeshatokea. Nawaomba watanzania wenzangu waendelee kuliita hii barabara Old-Bagamoyo Road. Msikubali huu upuuzi. Mwisho tutakuja kuziita barabara zetu Mungiki Road !
482484_507276975982805_1605657235_n.jpg
Rais wako kavaa viatu vya Bata
 
Itaitwa kibaki road kama ilivyoandikwa hapo juu acheni kubisha kila kitu kama vipi kaling'oe
 
Jamani mi naona uchungu. Barabara nzuri kama hii tena katikati ya jiji!! Kama ililazimu kupeana zawadi ya kumbukumbu si afadhali wangempa hata ka mtaa huko Bagamoyo, mfano mtaa mmojawapo huko Msoga?

Sasa mi naona kama nadhulumiwa kupita hii barabara. Fikiria mtu anakuuliza, 'huko wapi sasa, niko Kibaki Road'!!!

Jamani hivi watawala wetu huwa wanafikiria hisia zetu wanapotoa maamuzi ya kipuuzi namna hii??

Nashindwa hata kuendelea!
 
Old Bagamoyo Road ndio mpango mzima. To hell with mwai kibaki road. Ametufanyia nini cha maana hadi apate heshima hiyo!??

Nchi hii ina mashujaa wengi sana ambao wanastahili kuenziwa kwa kupewa heshima kama hiyo. Kama kikwete na maccm wenzake wamewasahau awaulize wananchi watawatajia maelfu ya mashujaa wetu wanaostahili heshima hiyo. Ni kheri mara elfu kumi wangeipa jina la mpigania uhuru mmoja wa kariakoo kuliko hiki kituko alichotufanyia kikwete.

Haya ni maajabu kuipa barabara yetu jina la mwizi wa kura ambaye pia ni kibaka wa demokrasia nchini mwake.

Kweli Mwita Maranya bora wangeungana na mohamed said kuwaenzi kina Mshume kiate,abdulwahid na wenzao
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom