Na mimi pia nipigie niipime sauti yako.
ZD unataka nani akupigie hapo ??
GP my dia,akikupigia wewe na mimi tutakuwa majaji wawili ,si anasema sauti ya mwenziwe mbaya.tuone kama anweza imba kwaya au kutangaza
wewe ZD, naogopa kumpiga ovateki blaza Xpin!.
Usiwe mwoga,haya ni masuala ya u-judge tu na interview.ukizingatia Xpin hana noma na wewe.
He! Ha! He! Hii ngoja niifanyie kazi! Lol! Mungu Wangu!
My little girl/boy! How old are you?
m-PM Xpin atakupatia namba yangu
How about I test my manhood on you. In Pemba thats our national sport.LOLZ
Angalia avatar yake utamuuelewa kwa vile ni mshirikina anahisi watu tulyo mpokea YESU tunatishiwa.
He/She?
Wakati fulani marekani robin givens aliwahi kutajwa
kuwa ndo the most hated woman in america,,,
enzi hizo watu walikuwa wanamuona ndo chanzo cha mike tyson kuchanganyikiwa,,,,,hasa aliposema aliolewa na tyson for money......
Any way hivi leo kwa hapa tanzania ni nani ambaye tunaweza
kusema ndo mtanzania anaetuboa zaidi?????
Tukiacha wanasiasa hasa wa ccm.
Kwenye upande wa burudani na jamii ni watanzania gani
kama wapo unafikiri wana kuboa kupita kiasi????????
[/COLOR][/B]Ohooo mpwa1,
naona umekuja kwa kasi ya ajabu.
Angalia avatar yake utamuuelewa kwa vile ni mshirikina anahisi watu tulyo mpokea YESU tunatishiwa.
Thats my cousin over there. Nimekutwangia senks pale, kathibitishe. Na zawadi yako ni taska kadhaa za baridi kesho saa tisa alasiri sharp. Usikose!
we dont know for sure,may be HESHE
Kweli ukitaka kujua tabia ya member wa JF angalia AVATAR yake kuna watu washari sijapata kuona.
heheheeee, RESPECT mkuu, ujue ukila vya watu na vyako vitaliwa!.
thus why nilimtafadhalisha shemiji ZD mapemaaaaa.
nimeiona senksi mkuu, hahahaaa.
Still una m prove BURN right.
Hahaha! Niliiona hiyo. Yeye ndiye ana kesi ya kujibu. Ila kesho usiache kuja nikutwange kadhaa za hongera kwa uaminifu wako. Mi kunywaga maulabu peke yangu huwa hayanogagi sana
Dada yangu Omba na Mshukuru Mungu kwa kuwa hujakutana na mpwa wangu Mr. Nguli. Anapenda sana testi za mabinti wenye nyodo.
Bwa ha hah..Watu wa bara bwana, sasa wewe ktk your right mind, umeshawahi lini kusikia mwanamke akiitwa Abdulhalim bin Mualem ?
Nishindwe nini?Shindwa katika jina la YESU shetani toka.