Watanzania wanamjua Dr. Munga?

Wamemwachia Niwemugizi pekee yake. Wengine wamebaki watazamaji
 
Huyu mzee si ndiye alipata ajali wakati fulani akitokea Dar kwenda Tanga ?
 
Samahani niulize; katika kampeni za uchaguzi 2015 Lowasa alisali kanisa analosalisha ambapo Mhe. Lowasa alitamka kuwa sasa ni zamu ya KKT kumpata rais? Please anayejua anijulishe. Kama ni ndio ama la?
 
Wachache tunaomkubali mtu huyu wa Mungu,yeye na Askofu Severin aliyepewa kesi cha uraia na madikteta uchwara,nawakubali
 
Hivi na watanzania wanamjua mjomba wangu Abdallah Sabuni? Huyo mjomba wangu hajui kupindisha maneno, yeye ni ukweli tu. Lakini yeye amesomea chuo kimoja huko Ontario Canada. Watanzania naomba mumfahamu.
 
Picha za chuo kikuu cha SEKOMU zikionesha mazingira mazuri kama huko Uholanzi na Uswizi please.

Though, Hongera zake
 
TEC wehu tu..
 
Samahani niulize; katika kampeni za uchaguzi 2015 Lowasa alisali kanisa analosalisha ambapo Mhe. Lowasa alitamka kuwa sasa ni zamu ya KKT kumpata rais? Please anayejua anijulishe. Kama ni ndio ama la?
Tabora na Lushoto wapi na wapi

Lowasa alitamka maneno hayo akiwa Tabora
 
Marehemu Munga alikuwa vizuri sana

Angekuwa hai mpaka sasa, tungefaidi sana elimu yake ya jitambue
 
Humjui vizuri huyo mchawi wa kutoka kijiji cha Tewe, aliyevuruga kanisa nakugeuza miradi ya kanisa kama mali binafsi ya familia, inshort humjui Dr. Munga vizuri, askofu aliyenajisi kanisa kwa ubinafsi na uchawi. Zuri unaloliona kwake ni hilo la kukemea serikali lakini anakokuongoza yeye aibu tupu.
 

Sasa ndugu yangu Zumbe wewe kanisa na msikiti wapi na wapi?

Acha hizo
 
Ujumbe mzuri, lkn LUND university ni Sweden.
Asante.
 
Nilikua natafuta hoja kinzani, hebu jitahidi kidogo kunyoosha maelezo labda tutakuelewa.

Toa ushahidi juu ya uchawi wake
Toa ushahd wa miradi binafsi

Mtoa hoja ameeleza mazuri yake

Ujenzi wa SEKOMU
Ujasiri wa kuikosoa serikali
 
Samahani niulize; katika kampeni za uchaguzi 2015 Lowasa alisali kanisa analosalisha ambapo Mhe. Lowasa alitamka kuwa sasa ni zamu ya KKT kumpata rais? Please anayejua anijulishe. Kama ni ndio ama la?
Dr Munga yuko dayosisi ya Kaskazini Mashariki yenye makao makuu yake katika mji uliojaa ustaarabu na mandali nzuri uitwao Lushoto.
Kwa hiyo usichanganye mambo mkuu
 
Aisee...|O
 
Kwa hicho kipengele cha kua mkweli,kuna mtu mmoja hata kuambiwa ukweli,mtu anaeweza kuongea ukweli ni yeye tu.
Usije ukamponza kama ndio hivyo.
 
Ingekuwa yaliyosemwa juu yake ni kweli kulikuwa hakuna haja ya uzi fb ili wamfahamu.

Labda katenda kidogo, huduma take haijafikia kiwango cha kusheherekewa tena ukichukulia ni askofu.

Kwa kuwa kila mti hutambulika kwa matunda yake basi atatambulika kwa jinsi alivyo pasipo kumtafutia kiki.

Halafu umesema eti SECUCO ni nini vile? Hiyo sekondari ipo wapi?Tafakari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…