Ngai Moko
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 1,394
- 1,857
Kwa hiyo mbongo akienda kwa ugaidi sio interest yake!! Au interest ni nini?Hayo makundi yanafuata interest zao
Ila mtanzania km hakuajiriwa na NGOs za umoja wa mataifa kuna utata
Kwa hiyo mbongo akienda kwa ugaidi sio interest yake!! Au interest ni nini?Hayo makundi yanafuata interest zao
Ila mtanzania km hakuajiriwa na NGOs za umoja wa mataifa kuna utata
Hao wameenda kwa kazi maalum ya ushushu au ujasusiSawa, je tukiona Mzungu, Mchina na Muhindi wameenda huko?
Mwambie gaidi mwenzao aende kuwaokoa. Sawa mkunduyanguAkili za Vijana wa kijani hizi, watu walikuwa wanazamia mpk kwa mungiki unadhani maisha Ni bongo tu
Angalia ukizini tu wanakuchinja asubuhi kwenye kadamnasi/hadharani kama kukuNitahamia talebani mimi nikaishi huko