Watanzania wakikuchoka ni hatari. Ona hii

Watanzania wakikuchoka ni hatari. Ona hii

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,577
Reaction score
14,337
Yaani uzinduzi wa kampeni za kitaifa unafuatiliwa na watu 13?

Yericko Nyerere taambia nini watu?
FB_IMG_1756662658024.jpg
 
Unakuta hao 13 wapo hapohapo Meza kuu Wakiongozwa na yule anaedhalilisha wahehe kwa kuitwa jina la butiama
 
Naona viwers milioni 13, aisee hawa nchi tayari wamechukua... 😂 😂 😂 :ClapHD:
 
Mwenzako amesha chukua kibunda na v8 yake ww piga ngonjera.
 
Back
Top Bottom