NYEKUNDU YA BIBI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 2,307
- 3,018
Kigwangalla, kiongozi wa malaika mbinguni[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tatizo lishe duni kuku wamezoea kutumia Kama mboga au mpaka waweke kambi mtu ndo ashibeKuna siku Taifa Stars wameenda nje ya Tanzania wakarudi tukawapokea kwa shangwe?
Wanazidiwa hadi na Idris Sultan.
Tatizo lishe duni kuku wamezoea kutumia Kama mboga au mpaka waweke kambi mtu ndo ashibe
Wao ndo wabangue kwa meno badala ya jktWawashushie Mtwara wakatubebee magunia ya korosho na kupakia kwenye malori ya jeshi.
Kocha ameuza game siotimu ya kupangaKigwangalla, kiongozi wa malaika mbinguni[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 938805
DuhWawashushie Mtwara wakatubebee magunia ya korosho na kupakia kwenye malori ya jeshi.
NIMEKUELEWA SANA. To worsen the matter na jana akawa tweet kuwa anafuatilia Mchezo!Aliyesababisha mnamjua ila mnakwepesha tuu. Tulisema mpira ni mchezo sio vita hivyo huwezi kuwatisha wachezaji kwa kuwapa Pesa na kuwaambia mkifungwa mtatapika fedha hizi na wakashinda.
Timu yeyote yaweza kuifunga nyingine kama imejiandaa kimazoezi na kisaikolojia. Ndio maana Cameron aliwahi ifunga Argentina ajiwa bingwa na Senegal akamfunga France akiwa bingwa.
Mpira sio kununua korosho kibabe, na wajuzi tulipoiona ile approach siku ile tulijua Stars ndio kwa kheri tena Mashindano haya.
Namuonya na Haji Manara anapenda sana kutumia maneno kum quote MTU fulani kuhusu Mashindano yajayo ya Simba, shauri yake ataiponza Simba itolewe alfajiri na mapema.
Kuna watu sio wa kuwataja kwenye jambo!