Slavery mentality!Tafuta mtu akutafsirie Kingereza maana imeelezwa vizuri tu kwenye taarifa.
Slavery mentality!Tafuta mtu akutafsirie Kingereza maana imeelezwa vizuri tu kwenye taarifa.
The suspects are a driver of the truck and his turnboy, both identified as Tanzanian, and a person who presented himself at the station with a mining permit and claiming to be the owner of the detonators.
“Upon being interviewed, the driver claimed the detonators were handed over to him at Taveta town to be delivered to the owner at Mwatate,” KRA said in the statement.
Mimi kingereza changu kibovu mkuu, sina lugha ya kitumwa ni mwafrika halisi na huru. Hebu niambie utaifa wa huyo jamaa aliejipeleka hapo station ku-claim kuwa huo mzigo wa vilipuzi ni wa kwake?
Usipoteze Mda na watu wanaofikiri kuwa wao ndio kila kitu. Na Mtu akiwa na fikra hasi na nchi yako huwezi kumbadili, wakati mwingine uwezo wao wa kufikiri umeishia kwenye CORONA
Kwaio unasema kuwa dereva wa gari ndio una wasiwasi nae ila mwenye mzigo hamna wasiwasi nae?Tatizo mumezoea janja janja nyingi, vilipuzi sio kitu cha kuingiza kimagendo, ukizingatia tumewahi kukamata magaidi kutokea nchi yenu.
Naona unakimbia kujibu maswaliNina wasiwasi na vilipuzi kuingizwa Kenya kutokea Tanzania. Tunapambana na magaidi wa kila namna.
Naona unakimbia kujibu maswali
Kwaio unataka vilipuzi vitoke wapi ambapo utakuwa huna wasiwasi napo? Huna wasiwasi na mnunuzi wa vilipuzi?
Kwaio hilo unamwambia mmiliki wa ivo vilipuzi ama unamwambia nani aache ujanja ujanja? Kwani mmiliki ni raia wa wap?Kama lazima mlete vilipuzi huku acheni janja zenu, hakikisheni mnaheshimu sheria zetu, tatizo lenu hamjazoea kufuata kanuni na masharti, mnaishi kwa ujanja janja, inawezekana hivyo vilipuzi hamkua na nia ya ugaidi, ila mngefuata sheria hayangetokea haya.
Achana nae usijichoshe ashaelewa ila analeta utahira tu hapaKwaio hilo unamwambia mmiliki wa ivo vilipuzi ama unamwambia nani aache ujanja ujanja? Kwani mmiliki ni raia wa wap?
Kwaio hilo unamwambia mmiliki wa ivo vilipuzi ama unamwambia nani aache ujanja ujanja? Kwani mmiliki ni raia wa wap?
Alikuwa anapelekewa nani?Taarifa zimesema vilipuzi vimetokea Tanzania huku mkidanganya eti ni tobacco, mngefuata taratibu zetu wala hakuna ambaye angewasema.
Ameshaelewa.. huyu..Alikuwa anapelekewa nani?
Wapo katika kuuguza machungu, kwaio wanazirusha akili na wanatafuta njia za kujifariji.Ameshaelewa.. huyu..
Ndugu yao kanunua vilipuzi kwa magendo.. anayewajibika ni Mwenye Gari, Dereva na Utingo.
Mmh!
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ana jaribu kukueleza ujinga wa Mwandishi kwa passive language tu kuwa, driver na turnboy sio issue . Mwenye mzigo amejitambulisha na vibali kwanini taarifa ianze kuwa adress dereva na turnboy.Sasa kama unajua hukusoma kingereza, ulikua kilaza darasani acha kung'ang'ania dhidi ya waliojituma.
Tafuta mtu akutafsirie nini maana ya "presented himself at the station"
Nasikia huko kwingine nako walikokuwa wamebana nasikia wameshaachia..Wapo katika kuuguza machungu, kwaio wanazirusha akili na wanatafuta njia za kujifariji.
Ndio nimetoka kusoma uzi hapa, mimi nimecheka tu. Maskini jeuri kaamua kuondosha kiburi chake. Ngoma imekuwa ngumu kwao.Nasikia huko kwingine nako walikokuwa wamebana nasikia wameshaachia..
#hakuna_karantini
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app