Watanzania wa Dar! Andaeni mabango...

Watanzania wa Dar! Andaeni mabango...

wabongo bana hakuna hata mmoja aliyetoka na walau kabango kakizushi..jamani jamani watanzania hatunazo
 
mimi hukuniona na bango pale tazara?? Nilikua nimesimama pemben ya nguzo ya umeme

Sasa hapo kwa pembeni CNN, BBC n.k wangekuonaje mkuu? wewe si miongoni mwa wale waliopagawa na kuingia barabarani?
 
Back
Top Bottom