Sio lazima bango la maandishi, unaweza kujitokeza hata na picha ya 'tembo anayedondokwa machozi baada ya kunyofolewa pembe'
Ujumbe utafika tu hata ukichelewa.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
View attachment 100202View attachment 100203View attachment 100204
SA wameweka yao ya moyoni si tutaweka yapi
Tuna mengi sana yakuweka..ujue watu walioelimika hutumia hizi chance vizuri kufikisha ujumbe.
wanamuonea baba wa watu tu, ungejua wightfox marekani wanavyomchukia wanatamani wamtoe kwenye hicho kiti lkn ndo hawawez inawauma kuongozwa mnigga
Anachobug ni kwenye sera yake ya ushoga..
Mi simwoni kama ni rahisi mbaya..
Naamini kina Baba V, figganigga na watanzania wengine waishio dar washaanda yao.
tatizo ni kwamba hilo la ushoga kwao marekani wako wengi mno kiasi kwamba hata kulipinga ni noma mpaka viongozi wa nchi wengine na elimu zao ni mashoga,yaani kwa kifupi wengi wao ni watu wenye wadhfa mkubwa tu nchini so inakuwa ni ngumu kuwakataza
Kwanini alilete hadi huku afrika? si aseme mengine tu...
Kwanza hata symbion power yenyewe anayokuja kucheki ni ya kiuwizi tu. marekani wanatuibia sana
sioni sababu ya kumlaumu obama tuilaumu serikali na viongozi wetu ndo wazembewao wanafanya kila jinsi kuitawala dunia so kazi kwetu akili kumkichwa kumeza au kutema
Safi sana pinda wapigwe tu,watakupiga tu.
Watakuja mkuu! utapenda kushika bango la saizi gani?
ngoja liandaliwe! mambo yenyewe ni kesho tu mkuu.