kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,239
- 17,677
Kuna sababu ya kutumia ujio wa raisi wa marekani kufikisha ujumbe kwa yale yanayotusibu kwa jumuiya za kimataifa!!
Tusikae kimya..
Tuiseme demokrasia yetu,
Andikeni pia kuhusu ufisadi na unepotism unaoendelea hapa kwetu..
Let the world see..
Msiache kuaandaa mabango na ya bebe jumbe zenye maana..
Wana jf tuwekeni maneno hapa kuwasapot watu wa dar..na wale wa maeneo ya jirani!!
..andika ujumbe ambao ungependa usomeke kwenye mabango..
Watanzania waishio dar na maeneo ya jirani wataona na kuyaweka..
Tusikae kimya..
Tuiseme demokrasia yetu,
Andikeni pia kuhusu ufisadi na unepotism unaoendelea hapa kwetu..
Let the world see..
Msiache kuaandaa mabango na ya bebe jumbe zenye maana..
Wana jf tuwekeni maneno hapa kuwasapot watu wa dar..na wale wa maeneo ya jirani!!
..andika ujumbe ambao ungependa usomeke kwenye mabango..
Watanzania waishio dar na maeneo ya jirani wataona na kuyaweka..