mtingi1
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 945
- 923
Wasalaam,
Nimekutana na matangazo ya ya vifaa vya kujikinga dhidi ya maambukizi ya covid19 nimechoka,
Barakoa 1@2000?
Sanitaiza 250ml@10,000?
Sanitaiza 100ml@5,000?
Sisi wenye vipato vidogo tutamudu kweli?
Hii ni kwa MUJIBU wa utafiti mdogo, sijui kwako ulipo mwanaJF.
Kama bei hizi zimeenea sehemu kubwa ya nchi ni balaa kwetu.
WITO KWA SERIKALI.
Ikiwa vifaa tiba hivi vinalipishwa kodi basi visamehewe ili viuzwe kwa bei nafuu zaidi tutakayoimudu wenye vipato vidogo.
WITO WANGU KWA WAFANYA BIASHARA
Huu sio muda wa kujipatia faida kubwa katika bidhaa hizi zinazohitajika kwa wingi sasa
Tuonyeshe uzalendo, kwa kusaidiana katika kipindi hiki taifa linakabiriwa na hii changamoto ya covid19.
Mungu ibariki Tanzania .
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekutana na matangazo ya ya vifaa vya kujikinga dhidi ya maambukizi ya covid19 nimechoka,
Barakoa 1@2000?
Sanitaiza 250ml@10,000?
Sanitaiza 100ml@5,000?
Sisi wenye vipato vidogo tutamudu kweli?
Hii ni kwa MUJIBU wa utafiti mdogo, sijui kwako ulipo mwanaJF.
Kama bei hizi zimeenea sehemu kubwa ya nchi ni balaa kwetu.
WITO KWA SERIKALI.
Ikiwa vifaa tiba hivi vinalipishwa kodi basi visamehewe ili viuzwe kwa bei nafuu zaidi tutakayoimudu wenye vipato vidogo.
WITO WANGU KWA WAFANYA BIASHARA
Huu sio muda wa kujipatia faida kubwa katika bidhaa hizi zinazohitajika kwa wingi sasa
Tuonyeshe uzalendo, kwa kusaidiana katika kipindi hiki taifa linakabiriwa na hii changamoto ya covid19.
Mungu ibariki Tanzania .
Sent using Jamii Forums mobile app