Wewe unaona mbali sana! Yote uliyisema naunga mkono 100%.Kwa waliosoma life skills kutembea haraka ni moja ya vigezo muhimu vya kustaarabika na uchapakazi .Tanzania utamaduni wa kutembea haraka haupo yaani watu wanatembea kama waliochoka ndo maana hata nchi yetu ina sifa ya watu wasiokuwa na furaha kadri ya takwimu kwa sababu ya watu kutembea kama vile wamekula sijui nini,ukitembelea mitaa mingi ya dar hata mwanza watu wanatembea kama hawana kazi za kufanya yaani wengi wanatembea sijui kusharobaro wengine wakinengua hasa mademu halafu tunasema nchi ya uchumi wa kati kufikia 2025 .hebu tazama nchi za wazungu watu wanatembea haraka hata baadhi nchi za Africa kama Kenya na south Africa movement zao zina uharaka tofauti ilivyo bongo.utamaduni wa kutembea haraka unapaswa uwepo kwenye nchi inayotaka kupiga hatua
Ukweli mtupuNamshukuru nimewahi kufundishwa na Ma-Prof kutoka USA, Canada, Uingereza, Russia, India, SA, Scotland yaani hawapotezi muda. Dakika 5 kabla ya kipindi mtu yupo mlangoni anasubiri. Na ikitokea siku ya kazi imeangukia kwenye public holiday lazima atafute muda wa kufidia. Hakuna nyoronyoro kama hawa wahadhiri wetu. Kama pale UDSM unaweza kuta mhadhiri haingii class wiki tatu nzima bila sababu za msingi. Baada ya hapo analeta slides za kufa mtu na kutangaza test ndani ya siku mbili.
Wanakera sana. Sasa ndio uwakute wanavuka barabara kwenye Zebra cross!, utatamani uwagongeKabisa, unakuta majitu yanatembea kama madume ya nyani huku mfukoni hayana hata mia!
Anaona kabisa gari karibu 10 zimesimama ili yeye tu apite, halafu anavuka huku anachat kama hataki vileWanakera sana. Sasa ndio uwakute wanavuka barabara kwenye Zebra cross!, utatamani uwagonge
sio..ukae..kulia,mkuu..kwa..barabara..zetu..za..bongo..ili,uone..gari..inapokuja,mbele..yako?Kizazi kisichosoma vitabu! Mbona hizo ni life skills zinafundishwa form two na hata darasa la sita.
1,tembea kwa kujiamini na kwa haraka.
2,Ongea kwa sauti inayosikika usipayuke au kunong'ona.
3,usigeukegeuke nyuma bila sababu.
4,kaa kushoto kwa barabara.
5,usichekecheke kama zuzu.
6,usitumie dk nyiiingi kusalimia watu njiani.
7,kama huna sababu ya muhimu usimtembelee mtu alfajiri.
Wananikera sana,pita pale samora karibia na jmall yani watu utasema pale wamefika mi huwa nawasukuma..sometimes unakuta watu wapo katikati ya njia wanapiga story asubuhi na mapema hawana habari!!
kaa kulia kwa barabara...sio kushoto mkuu, utaua watu.4,kaa kushoto kwa barabara.
Hii sifa ya kutembea haraka,wakati fulani wanayo hata vibaka. Siyo determinant ya uchapakazi.Kwa waliosoma life skills kutembea haraka ni moja ya vigezo muhimu vya kustaarabika na uchapakazi .Tanzania utamaduni wa kutembea haraka haupo yaani watu wanatembea kama waliochoka ndo maana hata nchi yetu ina sifa ya watu wasiokuwa na furaha kadri ya takwimu kwa sababu ya watu kutembea kama vile wamekula sijui nini,ukitembelea mitaa mingi ya dar hata mwanza watu wanatembea kama hawana kazi za kufanya yaani wengi wanatembea sijui kusharobaro wengine wakinengua hasa mademu halafu tunasema nchi ya uchumi wa kati kufikia 2025 .hebu tazama nchi za wazungu watu wanatembea haraka hata baadhi nchi za Africa kama Kenya na south Africa movement zao zina uharaka tofauti ilivyo bongo.utamaduni wa kutembea haraka unapaswa uwepo kwenye nchi inayotaka kupiga hatua
Nimecheka kwa sauti mpk kila mtu ananitizama hv natembea tembea tu mtaani huku nikisoma huu uziUnaongea ukweli tupu. hakuna jambo huwa linanikera kama watembea kwa miguu Bongo.
Watu hawana haraka anatembea kama njia yake. Halafu wanawake ndiyo wanakera unakuta anatembea ni kafupi kamejaza njia na mikono anairusha kote kama panga la helkopita.
Tembea A/dam uone watu walivyo na haraka ukiwa slow hadi unajistikia.